Natafuta 'Paraffin wax' (Dar)

Natafuta 'Paraffin wax' (Dar)

Luqash

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
916
Reaction score
343
Wakuu, kwa yoyote anayefahamu ninapoweza kupata 'paraffin wax' kwa hapa Dar es salaam tujulishane, ile inayotumika kutengeneza mishumaa.
 
mkuu nenda vingunguti nyerere road TATA HOLDINGS wanauza paraffin wax nzuri kutoka egypt,ingia ndani department ya sales(nilienda hapo 2009) walikuwa na stock kubwa sana
pia kuna wahindi kkoo nimepoteza mawasiliano nao ila wapo mtaa wa pili kabla hujafika gerezani st karibu na jengo landmark hotel,pia wengine wapo karibu na kidongo chekundu mkabala na cocacola depot kkoo
 
Shukran sana mkuu, any idea kuhusu bei?
 
Nenda Mwenge, Dar es Salaam, karibu na TRA. Ulizia Duka la Mjasiriamali Kwanza. Pia wana maumbo ya kutengenezea mishumaa, sabuni na material mengine ya kutengeneza detergents.
 
Nitafanya hivyo, thanks Kizimbuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom