Wadau frem inahitajika maeneo ya sokoni manispaa ya singida. Eneo lililochangamka.Biashara inayotaka kuwekwa hapo ni biashara ya nguo. Mwenye taarifa zozote atusaidie hapa. Karibuni:smile-big:
ni mashine multgym unaweza kufanya mazoezi zaidi ya saba ni used from uk inahali nzuri bei tsh. laki 9 na thelathini.vile vile sisi ni wasambazaji wa vifaa vyote vya mazoezi kwa bei nafuu...
Eneo lipo kigamboni Mwongozo km 17 kutoka kivukoni.
Lipo umbali wa km 2 kutoka barabara kubwa ya kuelekea kimbiji
Eneo halijapimwa ila lipo kwenye ramani ya mipango miji ( City plan) na...
Nauza kiwanja kipo kijiji cha Mapinga - Kimere karibu na Bunju B, kina ukubwa wa 20M kwa 30M. Bei ni sh. mil.7.5. Kiwanja kipokm 1.5 kutoka shule ya Baobab mita 500 kutoka barabara kubwa...
Quality is the Key,hizi ni durable na pia zina charge mara nyingi,zina circuit ambayo haiharibu simu wala battery ya simu.
Watengenezaji ni Anker vijana wa silicone valley.
Power capacity ni...
Tunachora ramani mbalimbali za nyumba kwa bei nafuu.
Zinapatikana Ramani ndogo za nyumba vyumba kuanzia viwili au vitatu na kuendelea, na hata ghworofa. Michoro inajumuisha
1.Floor...
Nauza ps2 kwa shiling lakimoja tu (100000)..inatumia flash na cd,imechipiwa..nakupatia flash moja ya game,memory card,na pad 1.....nipo kinondoni....0712993313!!!nina matatizo so nahitaj...
sifa zifuatazo:
.aweze kuendesha Gari na bike na leseni
.awe anajua soko lote la DSM kwa FMCG
.awe anaweza kujieleza kwa kimombo
.awe anauwezo wa kuongozi watu zaidi ya 20, magari zaidi ya 10 na...
A fully furnished semi attached 3 bedroom house located in Tegeta along the road.
For more pictures and details on the house and to view other property in Tegeta and the rest of Tanzania visit...
manufacturer:toyota
model:starlet reflet
colour:green/black
Transmition:auto
man year:1999
Gari ina music system na well maintained..serious buyers piga/wasap 0717297923
Habari zenu wakuu,
habari njema kwa wenye vituo vya mafuta/petrol stations.
Tunakodisha vituo vya mafuta na kuboresha/kuendeleza kwa walioshindwa kuviendesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.