Nyumba inauzwa Mbagala

Nyumba inauzwa Mbagala

BMB5

Senior Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
196
Reaction score
8
nyumba mbili zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa, nyumba moja ina vyumba sita na nyingne ina vyumba saba pia kuna kuna banda moja la uani pamoja na frem 4 mbele

nyumba iko eneo la mbagala kuu ni mita 200 kutoka barabarani

kwa sasa nyumba ina wapangaji

bei ni millioni 70 ukihitaji kuiona au kwa maswali zaidi nicheki 0688206680

NB; nyumba ina hati zake zote halali na haina utata hata kidogo

pia mniwie radhi kwa kushindwa kuweka picha hapa bt nifuate whatsap ntakutumia ahsanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom