iphone 5 nyeupe inauzwa kwa 450k,haina scratches na bado iko kwenye hali nzuri
note: inasumbua kusoma ussd code
ukitaka picha na maelezo zaid please nitafute kwa 0763969066
1.Tunafunga madish ya vingamuz vyote Azam,Zuku,Star Times, DsTV nk.
2.Kwa wale wanaohitaj kuona mechi za mataifa ya Africa(AFCON) bila kulipia kwenye kingamuzi cha AZAM
3.Tunafunga channel za...
MKUTANO MKUBWA WA KIBIASHARA LAW WANAWAKE TANZANIA.
Mahali: Mwl UK Nyerere Posta
Muda:9.00 mchana
Kiingilio: 10,000/
Cards; sms 0689067575, zimebaki chache.
Wadau nyumba inauzwa haraka, muuzaji ana anadaiwa na bank muda aliopewa umeisha. Nyumba iko ndani ya kiwanja chenye hati ya makazi.
Bei ni 131,000,000m meza ya mazungumzo iko wazi, baada ya...
Wadau hii mzigo iko boxed kabisa matatzo tu ya dunia imelazimika kuuzwa. Ni original and not clone bei ni laki 8 maongez yapo. ATTACH]230479[/ATTACH]
Karibuni. 0713 80 67 66/ 0764 50 30 76.
Nina Iphone 6 ambayo nimesahau password yake hivyo siwezi kuifungua, ni fundi yupi kwa Dar anayeweza kui flash ?? Nikipata mawasiliano yake ntapenda zaidi...Aksante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.