habari zenu wanajamii forum<br>narudi tena kwa mara nyingine, nahitaji vifungashio (package) ya vikopo vya 250ml, 350ml na 500ml.<br>kwa anaeweza kunisaidia sehem ya kupata au anauza ivyo...
Salaam wadau...natafuta vifaranga aina ya sato wasiozaa yaani mono sex na vifaranga wa kambare.Yoyote mwente navyo au anaejua pakuvipata pls naomba msaada. Mawasiliano yangu ni 0689900000
Habari wanajamii
Nauza line za Mpesa na Tigo pesa, ni zangu na zinafanya kazi sema nimekosa msimazi aliyepo kaondoka, ndo sababu ya kuuza
kama uko serious kwa manunuzi nipigie...
1.TUnaweka picha kwenye nguo yoyote kwa kutumia mashine za kisasa na kuandika majina kama picha inavyojieleza
2. kwa ajili ya wahudumu kwenye harusi..ukitaka wavae T shirts zenye picha yenu na pia...
Ina hali nzuri ila haisomi laini inatumia laini za marekani ila mm naitumia vizuri sana kwasababu natumiaga wi fi nina samsung s7500 ambayo natumia kwenye mawasiliano na kurusha wi fi tu ila...
Habari wadau! Kwa ambaye yuko interested kuna laptop mpya hapa inauzwa. Sifa zake ni kama nilivyoainisha hapa chini:
LAPTOPT SPECIFICATIONS:
Brand Name: Toshiba Portege
Conditions: Brand New...
Web Designs Company is specialized in advanced web services including website design, website development as well as software development, web hosting, Domain registration. We have a team of best...
Nauza memory card bei chee!! Ni-used bt Still in gud conditions so kama uko interested
Call 0713943432
Nipo dar
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Wakuu natumai siku imeanza vema kwenu nyote
Nina mgen wangu anaeanza maisha hapo mjini iringa anaitaji nyumba ama vyumba 2 na sebule ili aanze maisha; na kwa kua ana familia anahitaji mahali...
Nauza mashamba yangu yaliyopo ruvu yenye ukubwa tofauti kwa pamoja jumla ya ekari zaidi ya 12. Mashamba matatu ya ukubwa wa ekari 3.5, na 1.5, na 3.5 yapo kuanzia mtoni na umbali wa mita kama 500...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.