JD 3050 - Kama unaweza subiri kuna mzigo unaingia TZ (Toka UK) mwanzoni wa January, ukihitaji naweza nikatumbukiza humo maana ntakua na nafasi kiduchu - ntakupa contacts au ingia online, walipe jamaa moja kwa moja then nipe namba zao walete hizo jembe mizigo yangu ilipo ili viondoke vyote no later than 15th December 2011. Mimi mzigo wangu ni wa Massey Fergusons na majembe yake.
Wadau habari za leo!!
Habari hii ililetwa siku nyingi miaka 4 ilopita.
Miye nimeagiza trekta aina ya Ford 7500 ila halina jembe wala tela.... Msaada kwenye tuta ninapataje jembe na tela kwa bei nafuu ya kijasiriamali.... Ama wapi wanakopesha zana hizo kwa wajasiriamali kama sisi.... Nipo kwa moddyguyz@yahoo.com ama 0787519910
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.