Nauza s4 280,000/=

Nauza s4 280,000/=

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,919
Ina hali nzuri ila haisomi laini inatumia laini za marekani ila mm naitumia vizuri sana kwasababu natumiaga wi fi nina samsung s7500 ambayo natumia kwenye mawasiliano na kurusha wi fi tu ila kila kitu natumia kwenye s4 kuanzia internet whassap jf na hapo mm nakuzia simu zote mbili
 
Ina hali nzuri ila haisomi laini inatumia laini za marekani ila mm naitumia vizuri sana kwasababu natumiaga wi fi nina samsung s7500 ambayo natumia kwenye mawasiliano na kurusha wi fi tu ila kila kitu natumia kwenye s4 kuanzia internet whassap jf na hapo mm nakuzia simu zote mbili

Sasa unauza then huweki contacts?
 
Back
Top Bottom