Habari wadau,
Nilikuwa nahitaji sehemu nzuri ya kutengeneza (kuweka vioo) lens kwa ajili
ya miwani yangu ya Rimless. Nahitaji kujua bei na inachukuwa muda gani kukamilika.
Asante sana
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu...
Yeyote anaehitaji huduma ya service na matengenezo ya gari yake kwa bei nafuu tuwasiliane kupitia 0766981308. Huduma hii naitoa haswa kwa wakazi wa Dar, kwa wakazi nje ya Dar tutaelewana.
Nahitaji gari hiyo iliyo kwenye hali nzuri, I prefer dark blue or black in colour. Tafadhali isiwe ilishawahi kubeba abiria kama zile za mbezi_ kkoo.
Iwe imesimama kweli kweli bei hatutashindwana...
Nyumba yenye vyumba vinne, Jiko, Sebule mbili na Dinning ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa square mita 645 inauzwa. Hati zipo na haina mashaka.
Mahali ni Kigamboni eneo la MIKADI...
Wadau habari!kwa wale wenye kuhitaji mayai ya Kwale yanapatikana hapa Dar es salaam,kwa bei ya 20,000 kwa tray,punguzo lipo kutokana na idadi ya tray utakazochukua,kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni...
Kwa masomo ya History, Kiswahili, na English language
Tupo
Kinondoni mkabala na mahakama
KWA MAELEZO ZAIDI
PIGA, BEEP AU TUMA UJUMBE WhatsApp
0754 895 321
Samahani wakuu. Naomba msaada wa faida ,manufaa yanayopatikani ndani ya FOREVER mm kama kijana nlikuwa nahitaji kujiunga nami niwe kama member na Muuzaj(msambazaji) wa hizo products. ili niweze...
Nyumba ya vyumba viatu, sebule na eneo kubwa nnje inauzwa makongo juu mpakani na goba, nyumba ipo karibu na barabarani, bei ni 70M.. Mazungumzo yapo na mwenye nyumba, Kwa ambao wapo serious na...
Nahitaji printer kwa ajili ya kuprint documents mbalimbali ofisini. Iwe katika hali nzuri na isiwe na tatizo lolote.
Nipo buguruni, Dar es salaam
0768932789
0659528724
Kama kichwa kinavyojieleza, endapo unahitaji blog ya kisasa yenye mvuto na inayo load kwa urahisi basi wasiliana nasi kwa PM Bei ni 20,000/= tu na ukihitaji pamoja na domain tutakufanyia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.