Kiwanja chenye ukubwa wa Square metre 2350 kinauzwa. Kiwanja kipo kigamboni kimbiji karibu na Dege appartments, ni tambalale hakina miinuko wala mabonde. Miundo mbinu ya barabara na umeme tayari...
Tunauza trekta limeagizwa toka uingereza ni massey ferguson 165 .ilikuwa inatumika kule ila imekuwa refurbushed kule kule.... ina jembe jipya kabisa. Njoo pm kwa maelezo zaidi na pictures ...
Ni ya mwaka 2011 na imetembea Km 32000 tu picha chini hapo na bei ni dolla 70000 maongezi yapo kidogo kwa mawasiliano tumia hii no 0768359292 gari ipo Dar es salaam.
nyumba ya kupangisha morogoro ina vyumba 3 kimoja wapo ni master., kuna sitting room na dining room na parking space.. Kipo maeneo ya modeko kwa maelezo zaidi
0719004668
sehemu ya kufanyia biashara aina ya chips(kiepe) inahitajika..
maeneo yoyote yale ya UBUNGO, KIMARA, MBEZI YA KIMARA...
kama una hyo sehemu plz tuwasiliane..
0755175252 au
0769225102...
Good for surfing email and social media site while travelling .battery inakaa masaa 3 na robo ,ina webcam .window 7,
250GB Hard drive,1.00ghz, 1GB ram .Bei 300,000.00 maelezo zaidi piga simu...
Nina iPhone 5s niliyoitumia kwa miezi kadhaa naiuza kwa bei hiyo, ni 16GB, iOS 8.
Simu ni original na iko katika hali nzuri, haina michubuko na ina hard screen protector.
Maelewano yapo...
Tangazo Tangazo:
Nyumba ipo kwenye ghali nzuri na mazingira Mazuri inauzwa barabara ta bagamoyo,kisha waingilia mkono wa kushoto kuelekea IPTL,Karibunna shule ya Secondary Cornelius.
Kwa maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.