Asali kutoka Singida haijachakachuliwa hata kidogo.
Asali yenye ubora unaokustahili.
Asali ya nyuki wakubwa.
Bei 10000per Lita kwa rejareja
8000per Lita kuanzia Lita 5.
Ukiipokea na ikiwa chini ya...
Iko poa haina tatizo lolote la kiufundi, bei ni laki moja tu, haipungui nipo Dar es salaam Mikocheni.
Kwa picha na maelezo zaidi PM au whatsapp 0714499248
.MAPINDUZI KTK MAVAZI .
Mobile Tailoring and Fashion Designing (Huduma Inakufuata Ulipo-Okoa muda na fedha)
-Kwa nini usumbuke kwenda kwa Fundi wakati unaweza kufuatwa ofisini au...
Upo Kigamboni Beach karibia na ujenzi wa waturuki, NHSSF na shirika la nyumba, ukubwa wa uwanja ni zaidi ya m square 4000, uwanja umepimwa na una hati halisi, bei kwa m square moja elfu 45 na...
UPDATE:
The Product is No Longer Available. Thank you all who showed interest
Wadau,
Nauza simu mpya kabisa, ipo kwenye box na box lipo sealed. Hii simu ni New Samsung Brand ambayo imeingia...
Kamouni ya TESOTEK inawatangazia kuwa inao sasa ufumbuzi wa hali ya joto inayowakumba watu wengi pale umeme wa TANESCO unapokuwa umekatika. Inazo feni za kuchaji ambazo zinaendelea kufanya kazi...
Mini Mac hiyo inauzwa, and those are the specś;
2.4GHz Intel Core 2 Duo Processor
4 GB of 1066MHz DDR3 memory
Dual 320GB 7200-rpm Serial ATA hard Drives
NVIDIA GeForce 320M Graphics
Mac...
Kiwanja kizuri sana kiko Mbezi Makabe kina ukubwa wa sqm 1,131 kinauzwa kwa bei ya kutupa tzs milioni 16. Kiko eneo la makazi ambalo limeendelezwa kwa mpangilio mzuri, kipo kilometa 1.2 kutoka...
Wakuu,
Naombeni msaada wa kuelekezwa wapi naweza pata fremu ya kuuzia vifaa ujenzi hasa hasa maeneo ambapo ujenzi umeshamiri (makazi mapya).
Wakuu tuwasiliane kwa namba 0754729751
Asanteni sana
Kwa wale ambao hawajui tayari sasa ufumbuzi wa adha ya joto tunalolipata pale umeme wa TANESCO unapokuwa umekatika umepatikana. Zipo feni ambazo licha ya umeme kukatika zenyewe huendelea kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.