Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mashuka ya cotton yanapatikana kwa size za 6/7 na 7/8 ,ni mazito,hayachuji,hayatelezi na hayatoi nyuzinyuzi ukiyafua,ni shuka moja na foronya mbili,bei ni 25,000 kwa 6/7 na 30,000 kwa yale ya 7/8...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[SIZE=3]Wakuu,naleta kwenu matunda ya Strawberry. Nitakuuzia kwa jumla na wewe upate hela kidogo baada ya kuuza reja reja au hata kwa matumizi ya nyumbani. Mbali na Strawberry pia tuna vitunguu...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Tecno M3.ina wiki mwezi tangu inunuliwe,inayo waranty,screen protector,receipt,earphones,charger yake.utanibadilishia na simu gani ila isiwe tecno.nipo dar,niPM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafta nyumba nzuri mbezi beach ya kununua pesa isizdi mil40 za tz.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WanaJF Napenda Kuwatangazia Kuwa Kuna Mifuko Imetengenezwa Kwa Teknolojia Mpya Kwa Ajili Ya Kuhifadhia Mazao Kama Mahindi Na Maharage Pasipo Kuweka Dawa(sumu), Pia Mifuko Hii Hutumika Kwa Zaidi Ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asasi ya Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) inauza uyoga aina ya Mamama (Oyster) Kwa kiasi chochote kuanzia KG: 2 hadi tani 2 kwa mwezi upo uliokaushwa na kufungashwa na upo mbichi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Mc au mtangazaji tunapatikana kwa namba hii 0719909267
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Nyumba mbili zipo kwenye kiwanja kimoja Kigamboni maeneo ya Tuamoyo ni kama km 1 kutoka ferry zinauzwa, nyumba zote ni nzuri na zipo eneo zuri, kiwanja kimepimwa na hati ipo, ni pm kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Wakuu, heshima zenu, Kwa mara ya kwanza nakuja kwenu kwa hii bidhaa adimu. Nauza kiwanja maeneo ya Chanika. Kina msingi kabisa wa vyumba vitatu, sitting room, dinning, master, kitchen, store na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ukubwa ✳ 20M×40M (800sqrM)-14Milioni ✳ 20M×20M (400sqrM)-7milioni ⏩ Umeme upo karibu, Barabara ya Gari nzuri hadi kwenye kiwanja. 📞📱0752953860//0683499369
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri kipo Bunju 'B' Ukubwa:: ▶ 800 Mita za Mraba ▶ Bei Milioni 17 (Negotiable) ☎��⏩ 0752953860 // 0715350793 // 0683499369
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Haya wana JF, Habari ndio hio.
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Shamba lenye nyumba ndani linauzwa,shamba unaloweza kukata viwanja pia linauzwa ukubwa wake ni heka 1,pia kuna viwanja 20/20_@2.5mil, vyote vipo Chanika. Mawasiliano piga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
natafuta smart phone kali kwa mtu yeyote bei laki 1 niko kino
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Kwa matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni,sokoni na supermarket. Wana ladha ya kuvutia na kwenye vifungashio vya kuvutia. Karibuni sana. Mawasiliano 0659251217.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Bei nafuu sana na kipimo kutegemea na uchaguzi wako. Matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni, sokoni na supermarket. Karibuni sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Full HD 2hdmi ports Usb port Price: 570,000 Contact 0713086602 Free delivery Not negotiable
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nauza hiyo Pkpk kwa laki 7 kwa hasira maana kaniuzi Dereva wangu sina hamu tena na bodaboda nimeinyang'anya nipo mayo tu sijahangaika kwa lolote naona bora niiuze tu umiza kichwa napatikana...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
IPhone 6 plus mpya kwenye box unabikiri ww nauza mil 1.4 kama upo serious nichek 0716385824
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom