mashuka ya cotton yanapatikana kwa size za 6/7 na 7/8 ,ni mazito,hayachuji,hayatelezi na hayatoi nyuzinyuzi ukiyafua,ni shuka moja na foronya mbili,bei ni 25,000 kwa 6/7 na 30,000 kwa yale ya 7/8...
[SIZE=3]Wakuu,naleta kwenu matunda ya Strawberry. Nitakuuzia kwa jumla na wewe upate hela kidogo baada ya kuuza reja reja au hata kwa matumizi ya nyumbani. Mbali na Strawberry pia tuna vitunguu...
Tecno M3.ina wiki mwezi tangu inunuliwe,inayo waranty,screen protector,receipt,earphones,charger yake.utanibadilishia na simu gani ila isiwe tecno.nipo dar,niPM
WanaJF Napenda Kuwatangazia Kuwa Kuna Mifuko Imetengenezwa Kwa Teknolojia Mpya Kwa Ajili Ya Kuhifadhia Mazao Kama Mahindi Na Maharage Pasipo Kuweka Dawa(sumu), Pia Mifuko Hii Hutumika Kwa Zaidi Ya...
Asasi ya Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) inauza uyoga aina ya Mamama (Oyster) Kwa kiasi chochote kuanzia KG: 2 hadi tani 2 kwa mwezi upo uliokaushwa na kufungashwa na upo mbichi...
Nyumba mbili zipo kwenye kiwanja kimoja Kigamboni maeneo ya Tuamoyo ni kama km 1 kutoka ferry zinauzwa, nyumba zote ni nzuri na zipo eneo zuri, kiwanja kimepimwa na hati ipo, ni pm kwa mawasiliano...
Wakuu, heshima zenu,
Kwa mara ya kwanza nakuja kwenu kwa hii bidhaa adimu. Nauza kiwanja maeneo ya Chanika. Kina msingi kabisa wa vyumba vitatu, sitting room, dinning, master, kitchen, store na...
Ukubwa
✳ 20M×40M (800sqrM)-14Milioni
✳ 20M×20M (400sqrM)-7milioni
⏩ Umeme upo karibu, Barabara ya Gari nzuri hadi kwenye kiwanja.
📞📱0752953860//0683499369
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo...
Shamba lenye nyumba ndani linauzwa,shamba unaloweza kukata viwanja pia linauzwa ukubwa wake ni heka 1,pia kuna viwanja 20/20_@2.5mil, vyote vipo Chanika.
Mawasiliano piga...
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Kwa matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni,sokoni na supermarket. Wana ladha ya kuvutia na kwenye vifungashio vya kuvutia. Karibuni sana.
Mawasiliano 0659251217.
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Bei nafuu sana na kipimo kutegemea na uchaguzi wako. Matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni, sokoni na supermarket.
Karibuni sana
Wadau nauza hiyo Pkpk kwa laki 7 kwa hasira maana kaniuzi Dereva wangu sina hamu tena na bodaboda nimeinyang'anya nipo mayo tu sijahangaika kwa lolote naona bora niiuze tu umiza kichwa napatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.