Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
experia aina ganiNauza simu aina ya Sony Experia iko katika hali nzuri 130,000/= unaweza letewa hata mikoani mimi niko Mwanza.
Karibu!
Mkuu mi nina sh 30,000/=, km vip ni pm tufanye biashara.
mi namtaka na huyo paka hapo pembeni...![]()
Sijawahi kupendana na kiumbe kama hivi..its the authentic affection n love!
Huwa nalala nae kitandani na kula nae mezani.
The more I learn about people the more I like my little pussy. Anapenda unconditionaly na mimi nimeamua kumpenda unconditionaly. Kuna mengi sana tunafanya pamoja na paka huyu ntakwambia siku moja.
Bila shaka Picha hapo inazungumza mengi sana.
experia aina gani
experia aina gani
me naitaka simu
simu ilishauzwa...
tabia yako ni mbaya sana
me naitaka simu
simu ilishauzwa...
basi chagua hapa uitakayo Mobiltelefoner - Hitta din nya mobiltelefon hos oss - Elgiganten
acha bana mbona mm naifungua inafunguka...unajikosesha vitu vzr shauri yakohaifunguki