Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je umewahi kufikiria kuitangaza biashara yako kufikia wateja wengi lakini gharama zikawa kubwa? Je umewahi kujaribu kuitangaa lakini bado ikashindikana kutokana na kiasi ulichotoa kutoendana na...
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Ni sim aina ya Samsung note 3 katika ubora wake ipo vizuri sana na bei ni 600,000 na maelewano yapo kidogo
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dell latitude E6430, hdd 500gb, ram 8gb, core i7, speed 2.9ghz, webcam, Nvdia graphcs card, bei laki 9,computer mpya kabisa..ipo dar..ni mpya kwa maana ya upya, haijatumika kokote..mnunuaji ani pm.
0 Reactions
1 Replies
986 Views
》location:gezaulole kigamboni 》ukubwa:sqr m 488 》kiwanja kimepimwa na serikali na kina offer 》bei:9mil(maelewano yapo) 》contact:0657170516
0 Reactions
1 Replies
1K Views
>>Kipo kigamboni Gezaulole >>Ni cha serikali kimepimwa na kina offer >>Kina ukubwa wa sqr meter 488 >>Bei 9m(maelewano yapo) For serious buyer call 0657170516....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Nauza ubuyu Wa Zanzibar, 1000 kwa packet Moja. Nipo Dar es salaam. Kwa mawasiliano piga 0685091891. Tupo tayari kukusikiliza na kukuhudumia mteja wetu. Karibuni sana
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nauza mikanda ya kupunguza tumbo wakuu.kwa wanaume na wanawake.rangi nyeupe elfu 30 na rang nyeusi elfu 40. Ipo michache, napatikana kwa namba 0712620078. Naleta ulipo
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Jamani mashine inauzwa kwa 580,000 tu na ni mpya. Ni mashine ya milango kumi na moja. Kwa wale ambao watapenda bidhaa ni nyingi na bei ni maongezi tu. Contact 0712 753 548
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nauza simu ya htc one m8, imetumika iko kwenye hali nzuri. Ni grey in colour, inakuja na charger na box lake. Bei ni tsh 670,000. Kwa mawasiliano nichek at 0717301520
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The smart way to shop Save time and money by using Tz Motors to locate the car parts, trucks parts &tractors parts you need. Our specialist service has been developed in Tanzania we work with...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza kiwanja milioni 7 for details contactjosephvicent9@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Nahitaji flash ya kutumia kwenye camera ya nikon, mwenye nayo ajitokeze
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Asali kutoka Singida haijachakachuliwa hata kidogo. Asali yenye ubora unaokustahili. Asali ya nyuki wakubwa. Bei 10000per Lita kwa rejareja 8000per Lita kuanzia Lita 5. Ukiipokea na ikiwa chini ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye huoni mzigo ambao bado uko katika hali nzuri na hausumbui naomba tutafutane hapa 0787577755. Offer yangu ni 500,000 cash.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iko poa haina tatizo lolote la kiufundi, bei ni laki moja tu, haipungui nipo Dar es salaam Mikocheni. Kwa picha na maelezo zaidi PM au whatsapp 0714499248
0 Reactions
2 Replies
962 Views
kama unayo tupia namba hapa fasta na bei zake pia kama una vifaranga sema shingapi SITAKI MAYAI NATAKA KWARE
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwenye nayo,anicheki 0658327429
0 Reactions
5 Replies
860 Views
………….MAPINDUZI KTK MAVAZI…………………. Mobile Tailoring and Fashion Designing (Huduma Inakufuata Ulipo-Okoa muda na fedha) -Kwa nini usumbuke kwenda kwa Fundi wakati unaweza kufuatwa ofisini au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
fuso longbase mnauza bei gani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
bandugu kama kichwa kinavyosema hapo juu kama unauza hyo external tuwasiliane me nipo dodoma bei tutaelewana kama ni OG malipo yatakua mazuri
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom