MZALENDOWAKWELIKWELI
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 330
- 210
Kiwanja kizuri sana kiko Mbezi Makabe kina ukubwa wa sqm 1,131 kinauzwa kwa bei ya kutupa tzs milioni 16. Kiko eneo la makazi ambalo limeendelezwa kwa mpangilio mzuri, kipo kilometa 1.2 kutoka barabara inayowekwa lami ya Mbezi-Boko-Masana-Bagamoyo road.
Wasiliana nami kwa 0784 555 147
Mchoro wa land surveyor na coordinates zake ni kama unavyoonekana hapa chini
Wasiliana nami kwa 0784 555 147
Mchoro wa land surveyor na coordinates zake ni kama unavyoonekana hapa chini