Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF, nahitaji mbao za mninga zilizojaa vizuri 2*8, kama mtu anazo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0782370200.niko Dar es salaam
1 Reactions
1 Replies
903 Views
Nahitaji mbao treated 2by4 na 2by2. Ziwe na uref aa futi 20 mwenye bei nzuri ajitokeze wadau
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbao za inch 2 cubic meter 1-475000 (nyeupe) - inchi 1-565000 kwa mbao ndefu - Kwa mbao fupi 2*6-8500 - 2*4-5500 - 2*2-2500 - Hii bei ni ya Iringa Kiwandani. Milunda; - inchi 3 3500 - inchi 4...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu nahitaji mbao 2x4 mia 4 na mirunda mia 6. Pia nahitaji Marine Board 18mm pc 100. Naomba bei 'rafiki'. Tuwasiliane tafadhali
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Gari imetembea km 60000 tu Gari iko kamili vibali etc Bei ni 10.7mln Mwenye kuitaka tuwasiliane 0715591141
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Wadau, Natafuta simu tajwa (S5 au Note4). Iwe katika hali nzuri. Bajeti yangu 400-500.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nyumba iko Yombo Buza kwa Lulenge umbali wa mita 80 kutoka barabara ya lami. Ina vyumba vitatu vya kulala, self contained. Pia ina vyumba vinne vya uani ambavyo havijaezekwa. Kama utapenda...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
kama unayo , tuwasiliane chap 0715 81 21 60 (ISIWE NA UBOVU WOWOTE)
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mini mac iyo inauzwa, and those are the specś 2.4GHz Intel Core 2 Duo Processor 4 GB of 1066MHz DDR3 memory Dual 320GB 7200-rpm Serial ATA hard Drives NVIDIA GeForce 320M Graphics Mac...
0 Reactions
3 Replies
764 Views
Hallow, Natafuta gari aina ya RAV4 five doors rangi yeyote nina 9.5 million shilligs chap!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu mmoja anatafuta vyumba 2 vya kupanga yaani chumba na sebure miezi 6. Ni pm nimuunganishe pamoja
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shamba lipo Mkamba mbele kidogo ya Kimanzichana, lina hekari 16 halipo mbali na barabara kuu. Umeme pia haupo mbali. Mkamba ipo njia ya kwenda Kibiti Lindi ni kama 25 km toka Mbagala. Eneo...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Nauza machine ya Maxi Malipo iko katika hali nzuri, imetumika kwa miezi michache. Sababu ya kuuza nimefunga office, Bei ni 600,000. Kwa maelezo zaidi ni PM
1 Reactions
4 Replies
2K Views
The Darproperty Magazine May issue is now available online .Get to know tricks for selling your home fast and many more. The Magazine
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Vipo vya ukubwa tofauti kuna sqm 4000 bei 40m, kuna sqm 937 bei 10m, kuna sqm 1200 bei 23m, pia kuna sqm 2764 bei 30m, viwanja vimepimwa na mnunuzi atapewa ofa ambayo intatoka baada ya malipo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dell latitude E6430, hdd 500gb, ram 8gb, core i7, speed 2.9ghz, webcam, Nvdia graphcs card, bei laki 9,computer mpya kabisa ipo Dar es salaam ni mpya kwa maana ya upya, haijatumika kokote...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wakuu, The car is BMW X3 sports- limited edition Year- 2005 Mileage 90,000 km cc 2400 Luxurious leather interior, CD changer, TV, AC and with a royal look and feel. I have just...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Upo m 500 kutoka beach ukubwa wa uwanja ni hekar tatu,bei ni mil 190 na maongez kidg kwa mawasiliano nitafute hapa 0768359292
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Simu tajwa hapa juu inauzwa kwa bei ya tsh 300000 (laki tatu) mwenye kuhitaji nichek ktk 0713 80 67 66 nimtumie picha wasap mi nko dar.
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Kwa mwenye ufahamu naomba kujua bei ya hizi gari hadi zifike Tanzania na kusajiliwa. Demio mazda BF 378466 Engine 1340cc 2003 Bei ya japan 120usd na Polo volkswagen Engine 1380cc 2004 Bf 398601...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom