Ninauza printer Epson Stylus S22 T.Sh 100,000. Imetumika wiki moja tu. Haina wino.
Pia ninayo HP Deskjet 2000 Printer J210a imetumika mwaka mmoja. Haina wino. Bei T.Sh 70,000. Zipo pia Power...
Ni orijino ,iko katika hali nzuri imetumika mwezi mmoja tu, bado mpya ilinunuliwa korea
aina ya simu ni samsung galaxy trend plus GT-S7580
bei ni LAKI TATU tu, picha hizo hapo kwenye attachment...
Simu tajwa hapo inauzwa kwa sh 350,000 ni nyeusi internal memory 16 gb na orijino usb cable yake....haina tatizo lolote lile
📱📱📱📱-0658305201 nipo dar es salaam.
<strong>KWA WATU WOTE WANAOHITAJI VIFAA VYA UJENZI </strong><strong>AMBAVYO NI:<br>1.MBAO ZA AINA ZOTE....TREATEDTIMBER MBAO NGUMU NA SYPLUS<br>2.HARDWOOD YAANI MBAONGUMU AMBAZO...
Mbao za inch 2 cubic meter 1-475000 (nyeupe)
- inchi 1-565000 kwa mbao ndefu
- Kwa mbao fupi 2*6-8500
- 2*4-5500
- 2*2-2500
- Hii bei ni ya Iringa Kiwandani.
Milunda;
- inchi 3 3500
- inchi 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.