Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba lipo Dakawa Mkoani Morogoro , ni mwendo wa 6km kutoka morogoro mjini shamba lina sifa zifuatazo: Umeme na maji nyumba ya mlinzi lina miti ambayo ni mikubwa na inafaa kwa mbao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
DARPROPERTY MORTGAGE. Darproperty Mortgage ni huduma ya uwakala wa mikopo inayotolewa na kampuni ya Darproperty Tanzania,huduma hii inampa muhitaji wa mkopo wa nyumba taarifa sahihi na ushauri...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Wakuu wa Nchi natafuta hiyo betry nipo Arusha ,Au kama Kuna mtu anahitaji hiyo computer Bila betry tuwasiliane please .APPLE ,Marc book air .+255788860898 naweza kukutumia picha kwa whatsapp ,Thanks .
0 Reactions
2 Replies
848 Views
Nauza laptop yenye sifa zifuatazo: *Model: TOSHIBA (Dynabook Satelite ) Prossessor: 1.60GHz RAM: 512MB Hard disk: 60GB Bado ipo katika hali nzuri . Bei ni Tsh: 400,000/= Nipigie kwenye namba...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari jf..? yard ipi ya magari naweza kupata hiace, kuna jamaa yangu anahitaji hiace isiwe used bongo. 3L, super loof, disel engine.
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Wakuu habari. Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta projector kwa kuonyeshea michezo, hususani mpira wa miguu. Kama unayo naomba nitajie brand na model specs nitagoogle. Shukrani.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kioo cha simu huyo kimepasuka na hakionyeshi niko Dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Kama kichwa cha habari hapo kinavyoeleza, mwenye kiwanja cha ukubwa kuanzia heka moja pembeni ya barabara ya Bagamoyo au barabara ya kuingia mtaani ila kisiwe mbali na barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
  • Closed
wakuu nahtaj ps2 iwe complete kwa 100k nakaa dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni eneo zuri la makazi mapya ambalo linakuwa kwa kasi ya ajabu, kinyerzi kifuru lipo kwenye gentle slope, you cant afford to miss.bei kuanzia milioni 10 kuna viwanja vinne tu 30x35 wahi sasa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama una info , nipe pm , au namba ya dalali mitaa ya kurasini maji yakiwepo itakuwa vizuri zaidi. Budget isizidi 150,000/= kwa mwezi.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau, Kuna siku niliona Mordem flani zinaitwa MOBILE PARTNER kwa rafiki yangu mmoja hivi sa ninaihitaji namuuliza umenunua wapi nami nikanunue ananiambia kauziwa na teja mimi hoi, sasa...
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Nauza kiwanja Kibamba CCM hatua 20 kwa 20 kwa bei ya milioni 20 Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0686994342 Karibu sana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habarini za asubuhi.. Nna shida na Samsung galaxy note 4 oruginal ila used kwa bei ya shilingi 750,000-800,000 Kwa yeyote alienayo ya kuuza Ani PM tafadhali
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Uwezo:16GB internal memory, 2GB ram, Camera: 13mpx camera & 2MPX camera ya mbele, Flashlight, OS: Android 4.4.2 Kitkat, Sifa zake: Display: 1080 x 1920 pixels...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Magari yafuatayo yakiwa na vibari na njia za Daladala zinauzwa kwa bei rahisi sana unakaribishwa kuziona na ku bagain bei yote yako Dar.TOYOTA DCM 2, (zote engine ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Yeah ni mpya kabisa 25,000km imetoka bandarini. Kwa maelezo zaidi nicheki kwa 0713 190 118
0 Reactions
1 Replies
878 Views
simu ipo katika hali nzuri...ni 250,000 tuu....kwa maelezo piga 0713 190 118....nqpatikana Dar...karibu tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
561 Views
habari wana jf!! natafuta nyumba ndogo nzuri ya kuishi hata kama ni servant quarter iwe ya vyumba viwili,kimoja kiwe self container. iwe na madirisha ya aluminium,dari ya gypsum ,sakafu ya tiles...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa habari zenu, Mimi nipo Dar es salaam natafuta soko la Asali mbichi ya nyuki wakubwa.Asali ambayo haijachakachuliwa kutoka Katavi.Lita nauza 11,000. Kwa yeyote atakaehitaji tuwasiliane
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom