Habari
Kampuni ya SunSweet Solar Limited ambayo ni kampuni ya solar ya Tanzania imeweza kufanya partnership na kampuni ya ‪#‎Fosera‬ inayotoka Ujerumani. Kutokana na...
35,000 TU. Piga + 255 654 984 414
Ubora ni wa hali ya juu na vipo hivyo hivyo kama vinavyoonekana kwenye picha.
size 41-44.
Gharama ya kukuletea ni 3000 tu.
INVENTORY MANAGEMENT SYSTEM is a desktop software which can be used to control inventory of your business; Manage your transactions easily, Sales Report, Stock Management, Client and supplier...
Nimekaa Nairobi, kule miraa inauzwa kila kona kwenye viosk na ni wazi Government haina tatizo nayo. Sasa hapa Tanzania nasikia huuzwa kwa kufichwa fichwa!
Nauliza hapa Dar inauzwa wapi? Mwenye...
Mimi ni nurse wa ngazi ya Diploma natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo. Mimi nipo katika hosipitali ya wilaya ya Ngara, Nyamihaga. Nataka kubadilishana na mtu wa Pwani au Dar es salaam...
Mpya haijafunguliwa
Unaweza print pg 2,300 black and white
Inafaa kwa Printer zifuatazo
HP LaserJet P2035 Printer (CE461A)
HP LaserJet P2055d Printer (CE457A)
HP LaserJet P2055dn Printer...
Vitu mbali mbali vinauzwa:-
System, radio ya sony whats 4600 beiyake-300,000/=
Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=
Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=...
Unafahamu kwamba dawa nyingi za kusafisha meno zina FLUORIDE? Na kemikali hii inasababisha cancer unayouwa kwa haraka sana. Na ni sababu wanatutahadhalisha tusimeze ile dawa.
Je, watoto wadogo...
Elegant luxury BMW X3, 2008. with very low mileage and well maintain, used only overseas.
Full loaded, sport package;
-4 wheel ABS with traction control
-17 x 8.0 in Alloys wheels
-Elegant...
Mimi ni mwalimu Mariam Daniel Malanga, nafundisha Tabora, Nzega. Ninatafuta mwalimu wa kubadilishana nae aje huku Nzega, atokee Mbeya, Iringa au Sumbawanga.
Contacts: 0689404936 au 0764507121 na...
Haya wadau,
Nauza nyumba ambayo itahitaji maendelezo kidogo kwenye eneo zuri la Gangilonga. Kiwanja ni kikubwa mno na unaweza kujenga nyumba nyingine kubwa kwa nyuma. Kipo maeneo ya Gangilonga...
*Kiwanja Kipo Goba Tegeta 'B'
*Ukubwa 1200 Mita za Mraba.
*Gari linafika hadi kwenye kiwanja.
*Umeme Upo jirani.
*Hakina hati wala hakija Pimwa.
*Hakina Migororo, Mwenye kiwanja anaishi hapohapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.