Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mprojector mpya kutoka uk inauzwa kwa wanaohitaji wanicheki whatsaap 0715426668 kwa biashara zaidi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, nahitaji simu nzuri ambayo iko katika hari nzuri na pay yangu ni hiyo hapo kama utaridhika,usisite kuni pm.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wadau nimedunduliza vijisent vyangu sasa vimefikia milion 7. nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mihangaiko yangu ya mjini. Je naweza kupata gari lolote dogo kwenye Yard za dar kwa pesa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitwa Neema Bundala(Shilo) nipo arusha namtafuta baba yangu anaitwa AGUSTINO MASOKOLA BUNDALA. Alikuwa anaishi tengeru Arusha miaka hiyo 1995.Aliniacha nikiwa mdogo sina hata picha yakujua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwezi mmoja tu imetumika nauza couse naenda shule. Picha ni info 0716628257
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kichwa cha habari kinajieleza....bado ni mpya....bei ni 550k....bei sio katiba...njoo tufanye biashara...kwa maelezo zaidi nicheki kwa 0713 190 118
0 Reactions
3 Replies
800 Views
size; 40" model; LED40HD15X3D 2hdmi pot 2usb pot input and output cable 2 3D Glasses price: 1,100,000/-
0 Reactions
0 Replies
3K Views
fj hamjambo kwa sababu ya mahitaji ya hela nauza freezer supe quality inauzwa lk tano.contact 0719105823
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naitaji vitambaa jora mbalimbali ila kwa anae jua bei anijuze tafadhali
0 Reactions
2 Replies
8K Views
*Kiwanja ni 400 Mita za Mraba. *Umeme Upo Jirani, Barabara ya Gari ipo hadi kwenye Kiwanja. *Kiwanja hakina Pimwa, hakina hati. **Bei Milioni 7.5 📞📱0752953860
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni TV ambayo ilipasuka kioo baaada ya kuangushwa so wale mafundi wenye kuhitaji spare au wewe uliyeharibikiwa Na flat TV yako nitafute tu wasiliane. Ni Samsung LED TV inchi 32.nipo Dar Bei...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Kuna nyumba nzuri sana ya kupangisha Arusha USA river karibu na kituo cha Police USA river. Nyumba Ina vyumba 3 na sebule.Kimoja ni master bedroom. Ina vifaa vya ndani vipya kabisa hajawahi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna Samsung Note 3 mpya full imetulia 650,000 Kuna Samsung Note 2 mpya full imetulia 490,000 Nitafute PM tuongee business
0 Reactions
6 Replies
1K Views
boxer bm 150 rejareja-2,100,000/-tzs jumla-1,920,000/-tzs
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamvi, nakaribisha wadau wanaovutiwa na biashara hii either kwa kununua kwa matumizi ya nyumbani au kibiashara .tunapatikana morroco (dar) bidhaa zetu ni original na pia ni pure...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Mada tajwa hapo juu inahusika. Naomba kufahamu kama naweza pata laptop (hasa Kariakoo) kwa bei tajwa hapo juu. Ni kwa ajili ya kujisomea na kuangalia movie tu. Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptop dell inspiron centrino 2.. Processor duo @2.40Hz Ram 4gb System 64-bit os Hdd 320gb Colour- black Ipo katika hali nzuri.. na imekua installed na Windows mbili . Vista na Windows 7 home...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimebadilisha mawazo kwani wengi waliokuja nahisi hawakuvutiwa na nyumba
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aliyepo Mwanza please anisaidie number za madalali anipm please nahitaji chumba
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom