Natafuta projector

Natafuta projector

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
33,593
Reaction score
97,039
Wakuu habari.

Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta projector kwa kuonyeshea michezo, hususani mpira wa miguu. Kama unayo naomba nitajie brand na model specs nitagoogle. Shukrani.
 
Na mimi pia nina itafuta sana mkuu, wenye nazo tunaomba mtuchek kwa pm au 0652112026!!
 
Secret Service kuwa makini sana, kwani kununua projector used, inabidi utulie sana, kwani tatizo kubwa liko kwenye lamp,Usije ukanunua kumbe lamp yake imebakiza masaa 10,kuisha,itakula kwako, kwani upatikanaji wake ni inshu na bei yake inaweza fikia bei ya flat screen ya inchi 32!

Kuna jamaa yalimkuta, imebaki kama pambo ndani, labda zinazokuwa zimetumika kwenye taasisi kidogo kule huwa hazili mzigo mkubwa sana, ni masaa kidogo imezimwa, Kuwa makini sana.
 
Last edited by a moderator:
Ninazo mimi pamoja na screen zake nicheki WhatsApp +96895569080

Rahisisha zoezi, post utakayoweka hapa itakuwa stored kwny database hvy yyt atayekuwa na uhitaji km huo ni suala la ku search na kupata details ya hitaji lake la projector. I discourage mawasiliano nje ya thread hii hasa ktk hatua za awali km hizi.

Mwaga details hapa tufaidike na wengine pia!
 
nichekini whatsapp ninayo moja my sister alikuja nayo bado inamasaa ya kutosha tu nicheki whatsapp 0715426668
 
Mkuu, white wizard respect. Thanks kwa kushare knowledge. One last question, nitafanyeje kujua masaa yaliobakia kwenye lamp? Au ndio mwenye mali aniambie kwamba katumia for how long na alikua anatmia masaa mangapi per say then nifanye estimation? Ofcoz lazima atanidanganya ili ninunue inifie. Msaada.
 
Last edited by a moderator:
projector zipo nyingi.
used from usa.
bei TSH 500,000/=

Call or text 0714345958 , 0752858693

njoo dukani kwangu kariakoo mtaa wa masasi.

zipo zaidi ya moja, unapata nafasi ya kuchagua na garantii unapewa.

karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom