Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna indoor event next week natafuta wa kuprint hizo hapo juu. Kama upo nitumie quote haraka. Sina artwork in PDF zipo in jpeg. Quality na umakini utakupa shavu la kudumu. Whatsapp number...
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Kama title inavyojieleza sim ina mwez tangu inunuliwe ipo kwenye hali nzuri tu for more information WhatsApp 0719573444
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzigo ni almost new. 16gb 2gb ram 1.8quadcore 0713338342
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama title inavyojieleza, Lumia 830 ipo sokoni. Bei ni 500,000/= tu na mazungumzo yapo. Kwa wale wanunuzi ni PM tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
642 Views
Optoma projector yenye uwezo wa kukaa na charge zaid ya masaa 2 na yenye masaa 22000 inauzwa kwa sh. Laki mbili. Ukinunua zaidi ya moja kuna discount. My no. 0769038065
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kujua nitaipata wapi hapa Dar es salaaam, ikiwezekana na bei yake: 0715 81 21 60
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta korosho zakununua, kama kuna mtu tafadhali uniPM
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Laptop dell inspiron centrino 2.. Processor duo @2.40Hz Ram 4gb System 64-bit os Hdd 320gb Colour- black Ipo katika hali nzuri.. na imekua installed na Windows mbili . Vista na Windows 7 home...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Schedularapp is desktop/laptop application which is designed to assist on scheduling your routines, tasks, assignments, appointments, meeting, reminders, events, time table. Scheduler app is...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye smartphone original anayouza naomba aniuzie Ram1 gb Camera 5 megapixel Bei 150000
0 Reactions
2 Replies
919 Views
Kama wewe unamiliki Salon ya kiume, just PM me, kuna jambo la muhimu napenda kujua, Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Salon.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
we have so many accessories, see below some. you can contact ymollel@gmail.com for business or questions. Ask for your accessory if not listed hereunder.... CANYON Laptop BackPack PROMATE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
In terms of USD Dollars is 23, but T shillings 45000
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaji sim tajwa hapo juu kwa ofa ya shilingi laki sita iwe nyeusi ncheki 0714547830 kama unayo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, Ninahitaji simu tajwa kwa tsh.50,000/-. Kama inawezekana nipo Morogoro.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nahitaji kununua simu aina ya tecno h6 na h7 used au mpya lakini bei iwe nzuri zaidi ya piece 20. Napatikana dar
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza Mayai ya Kware Tshs 12,000/= kwa tray la mayai 30. Contacts: 0718 333 913
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sony Experia Z3 5.2 ins. screen; Camera: Primary: 20.7 Mp, Front 2.2 MP Android OS 4.4.4 kitkat upgradable to v 5.0.2(Lollipop) 16GB internal memory, RAM 3 GB with micro-SD slot Non- Removable...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Shamba lipo Dakawa Mkoani Morogoro , ni mwendo wa 6km kutoka morogoro mjini shamba lina sifa zifuatazo: Umeme na maji nyumba ya mlinzi lina miti ambayo ni mikubwa na inafaa kwa mbao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
DARPROPERTY MORTGAGE. Darproperty Mortgage ni huduma ya uwakala wa mikopo inayotolewa na kampuni ya Darproperty Tanzania,huduma hii inampa muhitaji wa mkopo wa nyumba taarifa sahihi na ushauri...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Back
Top Bottom