habari wadau asanteni kwa wote ambao mlinichek wiki iliyopita na kufanikiwa kuweza kufanya muamala wa laptop.leo tena nimeleta kazi ingine nahitaji laptop.yenye sifa zifuatazo
1-Processor : core...
Wandugu habari,
Nina taka kuanzisha biashara ya kufuga nguruwe na kuuza wanapofikia ukubwa nnao hitaji,nimekwisha fanya construction zote muhimu kwasasa nipo katika hatua za mwisho.
Mpango wangu...
kiwanja kipo Msakuzi mita kama 500, toka kituo cha mwisho cha daladala!
Kiwanja cha ukubwa wa miguu 30x20,
kipo kwenye mtaa
kinafikiwa na barabara yaani T junction,
umeme upo karibu huitaji...
habari za humu wandugu me ni mtz nadeal na utengenezaji wa celling za gypsum acoustik pamoja na gypsum partition
maelezo zaidi
email vankiwelu@gmail.com
Kama unahitaji milango, madirisha au fenicha zingine za miti mizuri ya Mkongo, Mninga, Panga panga kwa BEI NAFUU SANA niinbox nikusaidie kujenga nyumba bora na sio bora nyumba.
Karibuni.
Ipo Ada Estate Kinondoni. Nyumba ya pili toka barabara ya Ally Hassan Mwinyi. Inatazamana na leaders club. Ina vyumba 2 vya kulala sebule kubwa jiko store, ni apartment. Bei lake 9 kwa mwezi...
Nyumba yenye vyumba saba na fremu za biashara iliyopo eneo la Buza nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam inauzwa kwa bei nafuu. Pia kuna kiwanja kikubwa ambacho unaweza kujenga nyumba nyingine. Piga...
Tecno R7 330000tsh
Sony experia Z1 original 480000tsh
Htc one original 380000tsh
Huawei ascend y530 origimal 120000tsh
Maxon x tremer original 350000tsh
Sony experia z3 clone 270000tsh
LG G3 clone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.