Gumilapua
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 935
- 733
kiwanja kipo Msakuzi mita kama 500, toka kituo cha mwisho cha daladala!
kama ni mteja wa kweli, unaweza kuni-PM tuongee biashara.
- Kiwanja cha ukubwa wa miguu 30x20,
- kipo kwenye mtaa
- kinafikiwa na barabara yaani T junction,
- umeme upo karibu huitaji kununua nguzo.
- kina slope kidogo hivyo hakituamishi maji.
- bei yake ni milioni sita tu!
kama ni mteja wa kweli, unaweza kuni-PM tuongee biashara.