Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anayefahamu price ya hii Galaxy S6 edge naomba anifamishe..... Ni bora kufanya research kujua bei ili kujua unajipangaje, so kwa anayefahamu anifamishe but kwa asiefahamu asubiri naye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wandugu, Naomba msaada kwa yule anyejua mahali Oriflame official agents au duka linalouza bidhaaa kwa Dar, nahitaji kununua bidhaa kwa matumizi binafsi. Many thanks
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1)Hapa kuna samsung galaxy note 4 nyeupe less than a month used bei yake ni 940,000 2) hapa kuna samsung galaxy note 3 used ila iko poa na yenyewe imesimamia kucha.. Bei yake 600,000 3)hapa kuna...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niaje ndugu zangu Leo hii kijana wenu nimeamua kuuza cm yangu aina ya smart tablelat ambayo aina tatizo lolote kama unaitaji niPm ili tuongee biashara (na kufaamisha no shingap inauzwa Sikh njema...
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Bei 380,000 fixed inamiezi 2 tokea inunuliwe sababu yakuiuza nishida ya pesa. Ipo Dar es salaam 0712690760
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Deleted
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Haya serious buyer tu kama unahitaji sub woofer inapatikana kwa elfu 60 imenunuliwa mwez wa pili haina kasoro wala michubuko ina fm radio, remote, mahala pa kuchomeka flash na memory card na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
naombeni msaada kuna tablet inauzwa hapa mpya aina hiyo hapo juu. nataka kujua utunzaji wa chaji na internet yake kama vipo vizuri. mwenye uzoefu plz
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Nyumba inauzwa keko magurumbasi A sh. 25M ina vyumba 13 ni ya zamani kidogo. For serious beyer only call 0754654410
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani Nataguta Fridge... Ammount yangu ni 250,000/=
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Nauza Accessories za Laptop na Desktop,Pia natengeneza Pc. Accessories ni kama..... Screen za Laptop Charger za Laptop Batry za Laptop Keyboard za Laptop Hard disk Ram memory Windows install...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Samsung Galaxy Tab 10.1 inauzwa Location: Dar es Salaam Whatsapp/Call: +255 684141476 +255 754458218
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Used laptop inauzwa ni dell HDD 500GB,RAM 4GB,PROCESSOR 2.3GHz serious buyer mnakaribishwa price ni laki tano bt mazungumzo yapo
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Natafuta fanicha za ofisini zilizokwisha tumika,zaidi meza,ni pm kama kuna uwezekano!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Gongo la Mboto Viwege, ina master bed room 2 living room, sitting room, dinning room, kitchen.30mil mazungumzo yapo. Contact 0713 95 92 90, 0685655535
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajamvi kuna nyumba inauzwa maeneo ya mbagala charambe,ina vyumba vitano. Kwa mawasiliano piga 0684817525
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina hiyo plotter nauza sh 2m,kwa aliye serious anipm,nimeshindwa ku upload picha, nitaweza kukutumia kes whatsapp
0 Reactions
2 Replies
845 Views
Ndugu zangu nawatangazia kuwa kuna upotevu wa kitambulisho cha kazi na kadi za bank Canada na Tanzania. Vimepotea katika jiji la Dar. Vilikuwa kwenye pochi moja. Vyote vina jina MAKARIUS PETER...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natanguliza salamu. Wakuu natafuta dealer ambae atakua anani supply battery na vifaa vya simu kwa jumla. Ikiwezekana hata simu za aina tofauti vile vile.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu ipo kwenye hali nzuri na kwa bei ya Tsh 145,000 baadhi ya sifa zake ni 1gb ram,8mp na 1.5ghz cpu mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Back
Top Bottom