Ipo Kerege - kwa manofu, Bagamoyo, umbali wa mita 200 toka barabara kuu ya B'gmoyo - Mwenge.Nyumba ya kawaida sio self, vyumba 4, sebule ya kawaida.Kuna eneo la ziada.Kama wahitaji uni PM
Habari zenu wakuu, mim ni kijana umri wangu ni miaka 23, natokea dar,Ila kwa sasa naishi moshi,kutokana na mishe zangu za kikazi nahitajika nikakae Arusha.kwa hivyo natafuta mtu Wa kuchangia nae...
Web Designs Company is specialized in advanced web services including website design, website development as well as software development, web hosting, Domain registration. We have a team of best...
SHAMBA LA MITI LINAUZWA
Habarini wana Jamvi.
Shamba la miti lenye ukubwa wa takribani ekari sabini (70), linauzwa (Ardhi pamoja na miti).
Mahali. Nje ya Kidogo ya mji wa Mafinga, Mkoani Iringa...
Wadau,
Nawakatibisha mjipatie mayai ya Kware kwa ajili ya afya pia kwa ajili ya kuangulishia nicheki kupitia. 0717209059/0765347508 bei nafuu sawa na bei ya jumla inayoweza kukupa faida kama...
Sofa za leza kubwa la watu wawili na mawili ya mtu mmoja mmoja hayana michubuko,godoro imara na ni za ksasa zmenunuliwa mwezi wa pili bei ni 350,000 serious buyer only. ZINAPATIKANA GOBA, piga...
habari za jion wadau..
Friji au Frizer used inatafutwa.. kwa ajili ya grossary ndogo.
kama unauza friji unakaribishwa..
bajeti laki 3 kushuka chini.. kutegemea na ubora wa friji...
Ni deodorant ISIYO na Alminium Salt inayosababisha cancer ya ziwa.
Inatengenezwa na mmea asili wa aloe vera, haina harufu kali na unaweza itumia baada ya shaving.
Kupata yako au kwa maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.