Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wasalam. Wanandungu.shamba linauzwa linaukubwa wa eka kumi kila eka shil milion mmbili na laki nane.bei hiyo kwa atakae chukuwa kuazia tano kwenda juu.moja moja mil3.0752961814
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayeuza Huawei Mate 7 tuwasiliane. Muuzaji na awe mkoa wa Dodoma au Morogoro kwa kuwa itakuwa ni virahisi kwangu kuiona hiyo simu na kufanya biashara.
0 Reactions
0 Replies
685 Views
We are the Digital Marketing and Indoor Marketing We advertise in Public Areas indoor Contact us chris rwiza 0712 405 981 , 0757 733 750 office located at SINZA dar es salaam tanzania
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa habari ya leo!!! Sisi ni Chris and Angels tunatoa huduma katika events mbali mbali kama harusi , na sherehe za aina zote. Tunatoa huduma catering services huduma za chakula vinywaji...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
I will be in Dar this July and would like to explore the possibilities of hiring a simple private vehicle for use during my stay. I understand that there are many Car rentals in Dar, but I dont...
0 Reactions
2 Replies
826 Views
habari zenu wapendwa nauza Asali mbichi ya nyuki Wa kubwa kutoka katavi. haija chakachuliwa..Lita moja 12,000 nakuletea popote ulipo tuwasiliane kwa 0718632033 asanten
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Habarini wana jf .. Nauza saa zangu mbili kutoka us 1: SEIKO 5 Gold Automatic Movement bei laki nne na hamsini (450,000) #Sifa ya saa hii inadumu miaka na miaka #Rangi yake haipauki kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajukwaa ndio naanza maisha naomba msaada wapi hapa dar naweza pata kitanda cha kueleweka cha mbao ngumu za kudumu lakini kwa bei affordable??! Nimepita manzese na magomeni bei affordable lakini...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
It used for a short time Camera - 8 MP Android kit kat - 4.4.2 RAM - 1 GB 1.3 GHz core Memory - 4 GB And its a 5.0 inches display Bei ni 200,000 tyu Call 0786371108
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni hp elite book 2540p used bt in great condition ni core i7 ram 4gb processor 2.13ghz hdd 120gb webcame 3hrs battery life nicheki 0688206680 bei ni laki 5 kwa picha nicheki whatsap
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 600sqm kilichopo mita 800 kutoka kilipo chuo kikuu cha Arusha kinauzwa. Kiwanja kina Title deed & Hati zote zipo. Mazingira ni tulivu kwa ujenzi wa: -Hostel za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hd 500gb ram 2gb proccesor 1.4ghz system type 32 bit operating inakaa na chaji masaa 3 bado ipo kwny hali nzuri kwani ilinunuliwa dukani mwaka jana mwezi wa nane namba yangu ya simu ni 0719100531...
0 Reactions
2 Replies
613 Views
Karibu Tanzania Educational Publishers Ltd, ujipatie vitabu mbalimbali vya Kilimo na Mifugo, Sheria,Hadithi n.k, kwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba +255 685 997 583/+255 0758147871, +255 784...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 700 kinauzwa, kipo manispaa ya iringa eneo la kitwiru. kiwanja hiki kimepimwa na kipo eneo zuri kwa ajili ya makazi, bei ni tsh 4,500,000/= ila pia tunaweza ongea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 20/36M kinauzwa. -Kipo ndani ya jiji la Arusha, mtaa wa Moshono. -Umeme na maji vinapatikana. Kinafikika kwa Gari,&Hakina mgogoro. -Umbali kutoka katikati ya jiji ni 4Km...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtungi mdogo unauzwa na una vifaa vyote tayari kwa kupikiwa......
0 Reactions
6 Replies
2K Views
House for sale at Makongo juu with 6 rooms and 3 bathrooms in a 5 acre plot. The house is located near Mlimani city with the beautiful view of the darcity. For more details on the house...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serious buyers only, ni-PM. Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
A 4 BEDROOM MODERN HOUSE AT RASKAZONE AREA FACING INDIAN OCEAN FOR SALE. House has: Electric fence,CCTV camera, 2 electric gates,Tennis court (international standard),green garden,swimming...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
nauza simu tajwa ikawa katka hali nzur kabisa ukitaka picha ama mawasiliano nitafute kwa 0656497469
0 Reactions
5 Replies
941 Views
Back
Top Bottom