peterlvitalis92
Member
- Jul 15, 2015
- 53
- 12
Kiwanja kipo 20*19 mbezi mwisho kuelekea njia panda ya makabe na tegeta A,kiwanja kipo maeneo ya tegeta A eneo ni nzur kuna barabara mpaka kwenye kiwanja pia njia ya umeme bei million 6 mazungumzo yapo.
Namba piga/whatsapp 0717751644
Namba piga/whatsapp 0717751644