jmaroa
Senior Member
- Jul 29, 2014
- 111
- 23
Wanajamvi asubuhi hii nilipost advert hapa kwamba nina king'amuzi cha kuuza (azam tv) king'amuzi na dish yake. Wengi mnauliza bei nitakiuza shilling laki moja na elfu kumi tu ila bargaining ipo wadau.
Mi niko Mwanza. kama uko mikoani na una jamaa yako Mwanza unaweza ukamtuma aje akione..tuelewane utaratbu wa kuuziana.0755520228.natanguliza shukurani
Mi niko Mwanza. kama uko mikoani na una jamaa yako Mwanza unaweza ukamtuma aje akione..tuelewane utaratbu wa kuuziana.0755520228.natanguliza shukurani