Habari wakuu...nauza samsung galaxy note 3 neo.
Ipo in very good condition...
Memory: 16 GB internal
Colour: white
price: 650,000/=Tsh
Location: Dar Es Salaam
contact: 0714609907
Brandnew Samsung Galaxy note 3 for sale
Original, Boxed with full accessories
N9005 with full accessories
5.7 Inches Screen Size
13MP Back Camera and 2MP Front Camera
32GB Internal Storage, 3GB...
Habari zenu wadau?
Naomba msaada.
Natafuta paka (domestic cats) wawili - dume na jike.
Wasio na mabaka kama ya chui.
Wenye mabaka kama ya chui wana asili ya kuwa deviant (paka mwitu)- huwa na...
del inter core i3, black, Processor 1.4ghz, Ram 4.0GB, hdd 500GB, System type 64bit, Ports/drive(HDMI, DVD RW, 4usb ports, SD, breutooth, w/less) price laki 6. nipm tufanye busines
Wakuu nahitaji kiwanja Mwanza au Shinyanga au Nzega. Nakupa Toyota Gaia au Toyota Platz zote zikiwa na mwaka tangu ziingie Tanzania. Chagua gari kati ya hizo then kama kiwanja kipo vizuri...
Ndugu wanajamvi habari zenu?
Napenda kuwatangazia ofa hii ya simu aina ya iphone 4s ya lain moja ambayo ni original. Kwa atakayehitaji, wasiliana nami kwa namba 0713852625..
Asanteni.
Naitwa Yasini Yahya Rajabu
Nimepoteza cheti changu cha kuzaliwa,
Kwa yeyote alie kiona wasiliana nami kupitia email:yasinyahya6@gmail.com au
Kwa namba ya simu :+255718919637
Kimeandikwa...
Habari wanaJF,
Software tajwa hapo juu inakuwezesha kufanya yafuatayo;
1. Utunzaji wa kumbukumbu ya bidhaa ulizonazo,ulizouza pamoja na miamala yote uliyofanya
2. Utunzaji kumbukumbu kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.