Amani kwenu wakuu.
Natafuta wateja wanaonunua mbao kwa bei ya jumla. Nafanya utaratibu wa kutafuta kibali halali kutoka maliasili. Kuna uhakika wa mbao 2000 kupatikana kila baada ya wiki mbili. Ni...
Wakuu,
Salon ya standard ya kawaida iko complete na ipo sehemu nzuri. Imekuwa hapo kwa miaka mitatu hivyo ina wateja tayari. Mwenyewe ni wa mkoani, alikuwa anasoma chuo amemaliza anarudi mkoani...
Habari wana jamii forum.nawafikishia fursa ya nyumba kuuzwa kwa mnada wa adhara maeneo ya buza mtaa wa sigara dar es salam temeke,nyumba ya kawaida sana choo cha nje,vyumba upande mmoja...
Naomba wakuu mnishauri wapi naweza pata mbegu original nyanya nipo
Dar es Salaam ni aina ya tanya na rio grande nataka kulima Dodoma nyanya Mwez wa kumi
Nokia tajwa hapo juu inatakiwa iwe haina tatzo lolote,iwe haijatumika sana au haijatumika kabisa.
Iwe inakaa na chaji,isiwe na michubuko.
Mwenye kuwa nayo anicheki
Kwa anayehitaji laptop na projector jaman anicheck kwenye no yangu ya simu ambayo ni 0715-546818
Imebaki laptop moja na projector moja ambazo ni matata sana
Laptop ni dell latitude E5440, ram...
Nauza Subaru Forester 2004, natumia tanzania mtuu mmoja mwaka tatu
Saloni ya ngozi, zipo safi, 4WD, 2.0TURBO,113'000km,Tinted kutoka kiwandani, reili za juu, Audio SONY, Serviced on time...
Habari zenu wakuu,
Natumai mu-wazima kabisa bila kupoteza muda ni kwamba kama mada inavyoeleza hapo juu kuwa kuna biashara hapa chini ;-
Aina : TVS KING
Engine : 4 Stroke
Muda : 1yr 6mnths...
Nina Camera ya kuconnect na desktop ni mpya kwenye box lake haijatumika, nipe ofa uje uchukue hapa Posta Dar. Nilinunua ila ilichelewa kuja nikanunua nyingine hivyo hii ninaiuza.
Bei nipe wewe...
Habari zenu wakuu,
Tunazo QuickBooks Pro za mwaka 2014, inapatikana ikiwa full package: Ina video za kuonyesha jinsi ya kutumia kuanzia ku-enter bills, pay bills, create invoices.... etc Pia ina...
Wadau,
Ninazo QuickBooks Pro za mwaka 2014 (USA), inapatikana ikiwa full package: Ina video za kuonyesha jinsi ya kutumia kuanzia ku-enter bills, pay bills, create invoices.... etc Pia ina keys...
Wakuu,
Nimeleta bidhaa nyingine mpya pamoja na accessories zake.
Ipo samsung galaxy s3 bei yake ni 340000 tu.
Nyingine ni samsung galaxy s5 bei yake ni 680000 tu.
piga simu au tuma sms kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.