Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Wadau,
Ninazo QuickBooks Pro za mwaka 2014 (USA), inapatikana ikiwa full package: Ina video za kuonyesha jinsi ya kutumia kuanzia ku-enter bills, pay bills, create invoices.... etc Pia ina keys zake. Ipo kwenye CD yake pamoja na kasha lake.
Kwa wasio ifahamu, hii ni njia nzuri ya bora, ya kisasa na salama ya utunzaji wa kumbukumbu zako za kifedha ni kwa kutumia software inayoitwa quickbooks, hauna haja ya kukaa na kuanza kuumiza kichwa kuangalia kilichoingia na kilicho toka. Unachokifanya wewe ni kuangalia report zako tu.
Baada ya kuingiza taarifa zako za kifedha kwa mwezi mzima, ukijaangalia report itakupa majibu yote. Hii software ni nzuri kuanzia wenye maduka madogo, wenye kampuni ndogo ndogo na aina yoyote ile ya biashara ambayo inaendeshwa kisasa. Huu ni wakati wa kuacha kutunza kumbukumbuku kwenye madaftari kwani ni rahisi sana kupoteza.
Gharama ya Quickbooks pamoja na video zake zote na keys ni sh. laki na ishirini tu. Kama unahitaji nitafute PM au wasiliana nami kupitia email yangu: tonyhaule@hotmail.com
NB: Ukinunua tatu kwenda juu nakuuzia kwa laki moja tu.
Ninazo QuickBooks Pro za mwaka 2014 (USA), inapatikana ikiwa full package: Ina video za kuonyesha jinsi ya kutumia kuanzia ku-enter bills, pay bills, create invoices.... etc Pia ina keys zake. Ipo kwenye CD yake pamoja na kasha lake.
Kwa wasio ifahamu, hii ni njia nzuri ya bora, ya kisasa na salama ya utunzaji wa kumbukumbu zako za kifedha ni kwa kutumia software inayoitwa quickbooks, hauna haja ya kukaa na kuanza kuumiza kichwa kuangalia kilichoingia na kilicho toka. Unachokifanya wewe ni kuangalia report zako tu.
Baada ya kuingiza taarifa zako za kifedha kwa mwezi mzima, ukijaangalia report itakupa majibu yote. Hii software ni nzuri kuanzia wenye maduka madogo, wenye kampuni ndogo ndogo na aina yoyote ile ya biashara ambayo inaendeshwa kisasa. Huu ni wakati wa kuacha kutunza kumbukumbuku kwenye madaftari kwani ni rahisi sana kupoteza.
Gharama ya Quickbooks pamoja na video zake zote na keys ni sh. laki na ishirini tu. Kama unahitaji nitafute PM au wasiliana nami kupitia email yangu: tonyhaule@hotmail.com
NB: Ukinunua tatu kwenda juu nakuuzia kwa laki moja tu.