Quickbooks Pro 2014 (USA) Zinauzwa

Quickbooks Pro 2014 (USA) Zinauzwa

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Wadau,

Ninazo QuickBooks Pro za mwaka 2014 (USA), inapatikana ikiwa full package: Ina video za kuonyesha jinsi ya kutumia kuanzia ku-enter bills, pay bills, create invoices.... etc Pia ina keys zake. Ipo kwenye CD yake pamoja na kasha lake.

Kwa wasio ifahamu, hii ni njia nzuri ya bora, ya kisasa na salama ya utunzaji wa kumbukumbu zako za kifedha ni kwa kutumia software inayoitwa quickbooks, hauna haja ya kukaa na kuanza kuumiza kichwa kuangalia kilichoingia na kilicho toka. Unachokifanya wewe ni kuangalia report zako tu.

Baada ya kuingiza taarifa zako za kifedha kwa mwezi mzima, ukijaangalia report itakupa majibu yote. Hii software ni nzuri kuanzia wenye maduka madogo, wenye kampuni ndogo ndogo na aina yoyote ile ya biashara ambayo inaendeshwa kisasa. Huu ni wakati wa kuacha kutunza kumbukumbuku kwenye madaftari kwani ni rahisi sana kupoteza.

Gharama ya Quickbooks pamoja na video zake zote na keys ni sh. laki na ishirini tu. Kama unahitaji nitafute PM au wasiliana nami kupitia email yangu: tonyhaule@hotmail.com

NB: Ukinunua tatu kwenda juu nakuuzia kwa laki moja tu.
 
Mimi natumia Quick book 2011. Si iko sawa na hiyo?
 
ya mwaka 2014 ni maboresho ya mwaka 2011 hivyo haziwezi kuwa sawa mkuu.
Karibuni sana wakuu
 
Naam wanajukwaa

Nafurahi kujiunga na JF, nachukulia jukwaa hili kama ni sehemu ya kujifunza.

Takwimu za tanzania zinaonyesha kuwa kuna watanzania zaidi ya 1.2m wanaoishi nje ya nchi [rejea ripoti ya Tanzania Law Review Commission]. Naam hii ni karibu 3% ya taifa zima.

Nadhani wakati umefika sasa serikali ikapitisha sheria kuruhusu raia hawa kuweza kufaidi matunda ya uraia wa nchi mbili kwani kwa sasa wengi wanakwazwa na kuwa wakiamua kuchukua uraia mwingine inabidi waamue kuachia uzalendo wao.

Swali hili niliwahi kumuuliza mheshimiwa Sumaye alipokuja hapa Uingereza mwaka jana akakiri kuwa ni muhimu kuruhusu lakini hakuweza kutoa sababu kwa nini hasa mpaka sasa Tanzania imeshindwa kuwa sheria ya kuruhusu uraia wa nchi mbili.

Sasa hivi watanzania wengi wanaoishi Uingereza na nchi nyinginezo za Magharibi wanaweza kupata misaada kadhaa ya kuwekeza nchini mwao lakini kwa vile wengi wameamua kuwa na uraia wa nchi mbili bila kuachia uraia wao wa TZ basi inakuwa hawawezi kuwekeza nyumbani na kama watawekeza wataweka katika mfumo usio rasmi kama vile kuwatumia ndugu na jamaa pesa ili waweze kuwekeza,matokeo yake ni kuwa kwa vile ndugu hana uwezo wa biashara au kutokuwa muaminifu inakuwa ndio hivyo tena hela zinakwenda na hakuna linalofanyika,hii ina athari zaidi kwani mtu huyu hutotegemea akamhimiza mwenzie wa tanzania kuwa kawekeze nyumbani.

Naam mniwie radhi wanajukwaa nadhani ngwe yangu hapa mtandaoni italelemea zaidi katika kuwawezesha na kuwajali raia wote wa tanzania na kwa vile tuna asilimia 3% ya hawa wapo nje basi nao inabidi waainishe hoja zao ikiwemo na matatizo wayapatao,mwishowe waweze kuwa nao ni washiriki wazuri wa shughuli za kiuchumi Tanzania.

Mfano wa China ututoshe:
Kuna wachina 48 milioni nje ya nchi yao.Kuna wizara ya kushughulikia wachina waliopo nje ambayo inakuwa ni kama kiambatanishi cha wizara ya mambo ya nje ambapo wana jukumu la kuhakikisha kila mchina mwenye uwezo wa kutoa mchango kwao anawezeshwa bila vikwazo na pia wachina waliopo nje waweze kuwa wanapata habari na taarifa sahihi kuhusu hali ya uchumi,siasa,jamii nk wakati wote.

Angalia kwetu:

Balozi zetu zipo mbali na watanzania au tusema baadhi zimejitenga sana,ni kwa sababu kuwa karibu au mbali kunategemea na hulka ya balozi husika,kama ni mtu wa watu basi watu 'watajichanganya' kama sivyo basi watu hola! Nukta ni nini hapa? ni kuwa inabidi kuwe na ainisho maalum kwenye kazi za balozi katika kuwashughulikia watanzania.

Inatokea Rais anakuja kwenye nchi husika balozi anamkimbiza asionane na watanzania!

Natumai Ari mpya haitokuwa hivi na mabalozi nao watawajali watanzania hawa. Maoni yanakaribishwa, ''i stand to be corrected''

----------------------------------------------------



----------------------------------------------------
Waziri Member juu ya Uraia wa Nchi mbili
----------------------------------------------------





--------------------------------------------------------
Serikali yashauriwa kuwa makini juu ya Uraia wa nchi mbili
---------------------------------------------------------

Unamaanisha naweza kufanya installation mwenyewe?je pay roll imo pia?
 
Unamaanisha naweza kufanya installation mwenyewe?je pay roll imo pia?

ndio matitu , sisi tunakuuzia cd yenye kila kitu mpaka keys. Installation unaweza kufanya mwenyewe. Kama upo mkoani tunatuma kwa gharama zetu
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni CD software aiseeee mimi
 
Naommba kueleweshwa mkuu coz hyo kitu nishakutana nayo Sana mitandaoni dzain km network marketing na hzo ndyo product. Zao nieleweshe km naweza kujitengenezea kipato
 
Naommba kueleweshwa mkuu coz hyo kitu nishakutana nayo Sana mitandaoni dzain km network marketing na hzo ndyo product. Zao nieleweshe km naweza kujitengenezea kipato

Hapana mkuu, hii sio network marketing bali ni software ya kutunza kumbukumbuku zako za kifedha kwa kampuni, biashara ndogo ndogo au hata wewe binafsi tu. Kama una biashara yako tumia software hii itakurahisishia mambo yako na hautajuta kuitumia. Karibu sana

Wasiliana nasi: tonyhaule@hotmail.com
 
Quickbooks yoyote ile ya usa itakupa tabu kwa matumizi ya tz maana mfumo wao wa vat ni tofauti na wetu. Ila ungekuwa na ya uk ingekuwa mwake. Mi natumia qb pro ya 2012, kama ungekuwacna 2014 ya uk basi ningekuja faster. Inaendana na utunzaji wetu wa kiswahili
 
Quickbooks yoyote ile ya usa itakupa tabu kwa matumizi ya tz maana mfumo wao wa vat ni tofauti na wetu. Ila ungekuwa na ya uk ingekuwa mwake. Mi natumia qb pro ya 2012, kama ungekuwacna 2014 ya uk basi ningekuja faster. Inaendana na utunzaji wetu wa kiswahili

Ya UK ipo ila yenyewe ni bei kidogo mkuu, ni USD 450. Unapewa siku tatu baada ya kuweka oda yako
 
Back
Top Bottom