Salamu wana JF
Naweza kupata wapi Bata Bukini (Goose) jijini Dar?
Duu, huyo unamtafuta hadi unamtangaza JF, kakuagiza gagula nini? si unajua hao huwa masharti yao yanazidi ya IMF? lol!
Duu, huyo unamtafuta hadi unamtangaza JF, kakuagiza gagula nini? si unajua hao huwa masharti yao yanazidi ya IMF? lol!
Gagula nini?
ninao sasa tena wakubwa sana 0763268077
Ninao ninao bata mzinga piga 0754302768.ninao 50 funguka