Pata Memory cards 32GB, 64GB, 128GB, smart phones, Tablets etc. Kwa bei ya Jumla(wholesale price).
Karibuni!
NB:Pia tunakupa Card reader/Adapter Buree!!(Free) kwa kila memory card
Kama una harusi, kitchen party, send off au hafla yoyote ile karibu Singo Garden.Ni ukumbi wenye mandhari nzuri sana na wenye kuvutia, ni mpya. Ni garden yenye mvuto kupita kiasi
Jina la Ukumbi...
Hello pipo,
i need a company that deals with graphic design and printing
contact /whatssap on 0767328063, urgently
hello anayehusika na kampuni ya graphic design and printing naomba nipigie...
Haina haraka kivile, mwenye nacho tufanye biashara
Maeneo ni ilazo, kisasa, yan kisizidi 5km toka town
Kiwe kimepimwa i mean cha serikali.
Niko serious
Ofa yangu ndo hyo fixed.
Tapeli usijisumbue...
Wakuu naomba msaada kati ya hayo mawili kichwa cha habari kinavyosema nilikuwa nataka kuagiza je kuna haja ya mimi kulipa pre export inspection or Marine Insurance??naomba naomba waalam ambao...
Manuel Transmission, engine 1 zz , distance 58,000 km , imported from UK used 1 yr in Tanzania, available in Dar .
Price 13.5m Serious buyer only cont 0657145555
Eneo kilipo ni Mapinduzi East,Barabara kuu ya kuelekea UDOM ukiwa unaiacha Makulu ni upande wa kushoto. Kiko karibu na chuo. Maji yapo kama mita sita kutoka kiwanja kilipo.Nguzo za umeme nazo...
Habari zenu wadau,
Nina uhitaji wa household design items na interior items ambazo zinapatikana kwa nchi za kiafrika tu.
Ziwe zisiwe zinapatikana nchi za ulaya kuna mtu yupo nje anahitaji...
Habari zenu wana jukwaa,
Kinahitajika kiwanja kizuri kilicho karibu na huduma za maji na umeme maeneo ya kitunda au kivule.Kisizidi milioni 5.Maelewano zaidi yapo kutegemea na mazingira
Msada...
Habarini Wadau nna mahitaji ya kunua accesorie za computer mfano vioo vya laptop battery za laprop, foam cleaner, Mouse, Used computer na work station.
Kwa Dar es salaam wapi ntapata wanauza...
Najitaji cover nzima ya laptop tajwa (pichani), imepasuka cover karibu yote ya chini na karibu na display, mwenye nazo au mwenye laptop tajwa iliyokufa, au anayejua wapi ntazipata hapa bongo anipm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.