Habari,
Nauza friza ukubwa ni wa kati nzuri kwa biashara nipo Dar kibanda cha mkaa bei laki nne na nusu sababu ya kuuza nina shida ya pesa sana naomba anaeweza anipigie samahani picha sijaweka...
ONGEZA MWONEKANO WAKO KWA
BIDHAA ZA KITANZANIA.
-KWA SASA
VINAPATIKANA.
-NI VYA NGOZI
UTATUMIA MPAKA
UZEENI.
-AGIZA UTALETEWA
MPAKA ULIPO.
-TUNASAFIRISHA
NCHI ZIFUATAZO...
Habari ya weekend wakuu?
Yoyote anayejua sehemu zenye kuuza receiver ambazo zinazoonyesha station free bila malipo mfano kuna mtu kaniambia kuwa star life wanazo
Nauza laini ya Tigo Pesa, kwa bei poa kabisa, nilikuwa natumia mwenye, kwa maelezo zaidi nitafute kwa Namba 0786777540, piga simu au tuma sms tunaweza chat kama upo serious
Nauza mayai ya kenge.
Wale wote wenye matatizo ya nguvu za kiume,mayai ya kenge ndio suluhisho pekee.
Yai moja la kenge linauzwa tsh 20,000 za kitanzania.
Unalichemsha na kula kile kiini...
Nawasalim wote,
Nauza gari, ni PRADO T108 BEU,Nahitaji milioni 30 tu, pia mazungumzo yapo. Gari ipo katika hali nzuri na inatembea na haina tatizo lolote.
Nimepata chuo UK, hela niliyonayo...
Hamjambo wadau,
Nahitaji kununua gunia 200 ya mahindi safi kwa bei safi kila baada ya siku 3. Bora zaidi ikiwa mahindi yako Arusha au karibu na Arusha. If you are able to cover my demand kindly...
IPhone yangu ilianguka ikazima na sihitaji kupeleka kwa fundi coz nachukua 5s,kama kuna Fundi anaehitaji vifaa vya hyo simu anitafute,nipo Shy Town 071838863
Vitanda vinauzwa , vimetumika vilikuwa vikitumiwa kwenye lodge hapo kabla.
Vipo size tofauti kuanzia 6*6 mpaka 3*6
Ni full kitanda na godoro lake.
Vinapatikana Dar es Salaam, Temeke
Bei maelewano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.