Kwa yeyote aliye na maono ya kuwekeza katika financial services kwa kutoa mikopo kwa watumishi wa Umma tu, tuwasiliane ili tuwekeze pamoja, usajili wa Exodus Financial services unaendelea hivi...
Nawasalimu nyote. mm nafanya biashara ya TIGO PESA NA M PESA. MWezi wa TISA nafunga hiyo biashara maana kila mtu ninayemweka asimamie ananiangusha. Mwenye uhitaji za hizo line tuwasiliane PM...
Hii ni habari ya mjini bwana pata Decoder ya...Qsat,SpeedHD...zenye uwezo wa kuona channel za mpira Move bila malipo ya mwezi yani buree...pia tunalekebisha aina zote za...
wanajamvi,kwa yeyote mwenye kuhitaji mashine ,za kisasa kutoka NJE ,tuwasiliane,zipo zenye ukubwa tofauti,kuanzia mayai 500,ni outomatic,huna haja ya kugeuza mayai .kila kitu kinafanyika...
Wadau,
Nahitaji pure sea salt isiyowekewa madini ya joto au chochote. Hii ni kwa mahitaji yangu ya kukaushia ngozi za wanyama. Ikipatikana kutoka Dar au Bagamoyo itakuwa safi.
Piga 0758434141...
Natafuta DVD Player yenye option ya USB as soon as possible.
Kama unayo nirushie picha hapa kabla hujani PM tufanye biashara.
As soon as possible ntashukuru.
Changamkeni
Nahitaji msaada wenu wa ushauri.
Nataka kwenda Entebbe (EBB) niko njia panda kati ya FastJest na RwandaAir. Kuna mdau ananiambia Fastjet hawako reliable wana cancell ndege mda wowote ingawa bei...
Nyumba inauzwa ipo makumbusho ina hati ya wizara ya Ardhi ina Sqmeters490 .Bei ni 300M.Gari inafika hadi mlangoni.Ipo makumbusho mtaa wa kenya.Nimeshindwa kuweka picha ila ninazo kwenye simu...
Pata kuangalia michezo mbalimbali kupitia channel za supersport ikiwa ligi mbalimbali za ulaya bila malipo ya mwezi kwa kununua Decoder yako ya Qsat..SpeedHD..kwa maelezo zaidi....0782664694
Viwanja vipo vya kutosha vya ukubwa mbali mbali kuanzia sqm 480, mpka sqm 2000 bei ni tsh, 10,000/= kwa sqm moja. sumangila mwanzo mgumu ipo mbele ya dege ukifika kituo cha mwembe mdogo unaingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.