tumain ernest
Member
- Feb 24, 2011
- 26
- 8
Natafuta kiwanja cha 3milion maeneo yoyote Dar kiwe na ukubwa wa kuanzia 20x20
Kipo cha ukubwa wa 45 x 18 bei 6m madale
natafta kiwanja cha 3milion maeneo yoyote dar kiwe na ukubwa Wa kuanzia 20x20
njoo nikupe malamba mawili, kipo kwenye kilima unakula upepo kama upo magogoni vile!
Natafuta kiwanja cha 3milion maeneo yoyote Dar kiwe na ukubwa wa kuanzia 20x20