hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Nahitaji msaada wenu wa ushauri.
Nataka kwenda Entebbe (EBB) niko njia panda kati ya FastJest na RwandaAir. Kuna mdau ananiambia Fastjet hawako reliable wana cancell ndege mda wowote ingawa bei zao ziko fair sana compared to RwandaAir.
RwandaAir tatizo lao ni moja tu, wanazungukia Rwanda kuelekea Entebbe na hivyo kuifanya safari iwe ya mda mrefu sana na isitoshe bei zao ziko juu compared to Fastjet by 40%.
Mliotumia zote na wenye experience na hii route naombeni msaada wenu fasta.
Nataka kwenda Entebbe (EBB) niko njia panda kati ya FastJest na RwandaAir. Kuna mdau ananiambia Fastjet hawako reliable wana cancell ndege mda wowote ingawa bei zao ziko fair sana compared to RwandaAir.
RwandaAir tatizo lao ni moja tu, wanazungukia Rwanda kuelekea Entebbe na hivyo kuifanya safari iwe ya mda mrefu sana na isitoshe bei zao ziko juu compared to Fastjet by 40%.
Mliotumia zote na wenye experience na hii route naombeni msaada wenu fasta.