Karibuni Wateja mnaohitaji mabati ya aina mbali mbali, yapo ya aina zote migongo mikubwa na midogo pamoja na vigae vya kisasa na misumari aina zote, mlioko dar es salaam na nje ya dar wote...
Salamu kwenu wakuu,
Ninatafuta nyumba ya kupanga maeneo ya survey au changanyikeni jijini Dar es Salaam, hata Sinza sio mbaya (last option)
Nyumba hiyo iwe na sifa zifuatazo:
1. Iwe na yenye...
Kwa anaeitaji anichek whatsapp kwa namba hii +255652247221
For sample t-shirts check this link below
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/896336-lowassa-t-shirt.html
Wakuu kiwanja kizuri kinauzwa wa heka moja kinauzwa eneo la dege kigamboni ni mwendo wa 3km toka dege beach project na 1.5km toka barabara ya lami bei ni 18m. hakijapimwa ukinunua wapimaji wapo...
Hi guys,
Return back your lost files any formatted hard drive:
Kwa watu wanaohtaji kurudisha files ambazo zimepotea either kwa kuformat hard disk.
Mnaweza kuniibox then we will make busness...
Gari ipo katika hali nzuri,haidaiwi chochote,
cc650
AC
Imetembea Km 181000
bei 4.8Mil serious buyer call 0714792727/0782345695
Server haiko poa saiz ukihitaji just whatsapp ntakutumia picha
Wandugu Habari
Nina Ekari kadhaa za Ardhi Mkoani Morogoro. Latika kuzisafisha ili nianze kulima nimeamua kuitengeneza Mkaa kwani natambua kuwa ni bidhaa adimu sana hivyo nikachungulia Fursa.Baada...
Habarini wakuu,
Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi (10) linapatikana Visiga kati wilaya ya Kibaha mkoani Pwani.
Lina miti ya aina mbalimbali kama vile mikorosho, minazi na miembe.
Kwa...
Wadau naomba assistance ya mahali ntaipata laptop tajwa ikiwa mpya na kwa reasonable price na kujuzwa bei yake ikiwa na specs hizi; touch screen,ram 8gb,hdd 1tb & 15.6" screen.
Shukrani!
Features:
1.Dual working modes of wireless gateway and USB modem
2.combines wifi, 4ports Ethernet gateway and telephone service in one device
3.plug & play, convinient for use
4.works on...
Natafuta mtaalamu wa kuniandalia Comprehensive Business Plan ya mradi wa kutengeneza unga wa sembe.
Mtaalamu huyo awe ana uzoefu wa muda mrefu wa kutengeneza business plans, na awe ameshaanda...
Nauza simu Techno P5 kwa bei ya hasara ya Tsh laki moja tu.Simu ni nzima kabisa sababu ya kuiuza ni kupata hela ya kufanya application za chuo TCU.
Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.