Nyumba ina vyumba 3 jiko na bafu na choo.ipo maeneo ya kigurunyembe morogoro mjini inatazamana na soko jipy la kisasa la manispaa linalo endelea na Ujenzi bei milioni 45. Mimi ni dalali so pm kwa...
Kwa anayehitaji projector anicheck kwenye no yangu ya simu ambayo ni 0715-546818 aina ya projector ni hitach, ipo kwenye hali nzuri sana, bei ni 550,000/= kulia lia kidogo sana inaruhusiwa.
Tunauza mabati ya aina zote, vigae na ceilling pvc.bei inaanzia 7500 kwa meter moja kwa gauge30 kwa migongo mipana. Mabati yetu yanatoka viwanda vifuatavyo,alaf,dragon,afrin,snow leopard,tiffo na...
Mimi Fundi UMEME WA NYUMBA YOYOTE..with much Exeperience Kwenye Kazi hii..Natoa Offa ktk kueneza network ya Kazi zangu Nakufanyia Wiring ya UMEME WA NYUMBA kwa bei nafuu. na maelewano..
Call me...
Wakuu salaam! Jirani yangu anauza nyumba yake Nyumba haijaisha ipo kwenye renter ni nyumba yenye vyumba 3 na sebule na pia kuna sehemu ya kuchimba choo na kalo. Nyumba ipo kunduchi eneo la meko...
Kwa anayehitaji Laptop jamani PM..
lpo Dell, Core i3, RAM 4GB, Hard Disk 500GB, Web Camera, Betri linakaa masaa 8.
Kwa anayehitaji anicheck kwa namba 0715 546818..
Ni package yenye bidhaa zifuatazo;
-Aloevera juice chupa 3
Hii juice inasaidia katika mfumo wa mmenge'nyo wa chakula, kusafisha na kuondoa sumu mwilini, kukupa mwili virutubisho na kuimarisha...
For Sale
Used Iphone 6 Silver 128GB
Comes with Glass and Gold High Quality Cover..
Running ios 8.4 latest version
PRICE:1,600,000/=Tshs FIXED
For More Details And Info
Call/text/whatsapp...
Nauza mikanda ya kupunguza ni ya mtumba.ndan ya wiki moja tumbo linaisha.kama ukiwa serious kuvaa muda wote.meusi nauza elfu 40 na meupe elfu 30.Naleta ulipo kwa walioko Dar.
Napatikana kwa namba...
Habari wana Jf
Nauza hiyo kitu
1.67ghz duo core processor
2gb ram
250gb hddd
webcam
ndani kuna software kali kama
the best hacking software- core impact pro best for screwing...
Nyumba nzuri ya kisasa iko Tegeta inauzwa, bei maelewano. Ina hati na uwanja mkubwa tayari kwa kuhamia. Piga 0674631109 kwa maongezi zaidi.
Nina shida kwa hiyo naomba serious buyer tu..
Wadau,
Nauza gari aina ya Lexus RX3.00 ya mwaka 2006. Gari hii ni Automatic na pia imetokea U.K, ina 'leather seat' na ni ya mwaka 2006. Haina tatizo lolote, KM zake ni 122,000. Bei yake ni Sh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.