Nahitaji kabati la Allumium la dukani used

Nahitaji kabati la Allumium la dukani used

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,249
Ndugu wanajamii.
Nahitaji kabati tajwa hapo juu nipo Mbeya.
Ninahitaji la mita 2 lakini nina kama laki 1 na 50.
Tafadhali mwenye nalo anijulishe.
 
Kwa hyo bei huwezi kupata lipya 250k! kwa hapa mbeya
 
Back
Top Bottom