Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi ninayo ekari 16 ya shamba kando kando ya Bwawa lililojengwa na Serikali kwa ajili ya umwagiliaji. Katika majira ya kiangazi kuanzia Mwezi wa Mei mwishoni nataka kuanza kilimo cha vitunguu kwa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
www.jumia.co.tz is looking for reliable clothes vendors located in Daresalaam only to supply clothes to www.jumia.co.tz fashion category. If interested please call 0759313687 for more information.
0 Reactions
0 Replies
916 Views
...Gari aina ya Toyota Passo inauzwa ni mpya namba D... Picha zinasunbua kuweka hapa jukwaani ila unaweza kukutumia via whatsup.. Number yangu ni 0713 590607... Specification zake ni: Model...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunapokea,magari,nyumba,viwanja,mashamba,samani kwa ajili ya kuuza.kampuni imesajiliwa 0786099447 karibuni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta kabati kwa ajili ya dukani,lengo ni kuwekea bidhaa kama vipodozi,spray nk..Liwe na partition at least mbili na vioo vya mbele. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta tairi mpya 4 za kununua size 215/65R16 aina ya BRIDGESTONE ambazo ziwe zimetengenezwa Japan mwaka huu wa 2015, ambaye anazo hizo tairi tafadhali tuwasiliane. ANGALIZO. Tairi za size...
-1 Reactions
3 Replies
3K Views
Bei milioni 7 kuna punguzo kimepimwa kiko sehemu nzuri karibu na barabara kuu iendayo nairobi ukubwa ni 22 kwa upana 32 kwa urefu wahi sasa. Kwa mawasiliano piga 0787593433
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza kuku aina ya kuchi au kwa kizungu aseel, wana miezi mitatu na nusu,nauza kwanzia 15,000.nipo moshi kwa anaehitaji anipigie 0715 390738.
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Jipatie kadeti kali na jeans kali kwa wanaume na vijna size yoyote utakayo ni rangi nzuri nitakuleta kma uko ofisini au kma uko mbali tutaangalia jins gani ya kukufikishia. Piga namba hii kwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nauza galaxy s2 almost new haina mchubuko wowote. Specification RAM -1gb Internal-16gb Camera-8mp Bei -220000tsh. Kwa anayehitaji anicheki 0659116111
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Natafuta shamba eneo la Dar er salaam , Morogoro au kibaha mwenye ujuzi aniwekee na bei zake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau,natafuta jiko la zamani la stove lililoandikwa neno german na pasi ya mkaa ya zamani iliyoandikwa german mwenye hizi assets ani sms kwa 0687532647 THANKS.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa, ipo Tandika mtaa wa Nyambwela. Ina vyumba Nane katika kiwanja cha 20 kwa 20 mita. Namba ya nyumba ni TMK/TDK/NAY/21. Bei Maelewano. Kwea Mawasiliano zaidi piga 0715634825/0755634825
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Magari mawili yanauzwa; Prado na Rav 4. Gari zote zinatumia Petrol na ni Automatic. Tunapatikana Mikocheni. Wasiliana nasi kwa simu no: 0719891518 au 0765019798 Karibuni sana..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vipo mrusi na mwilamvya, ni ktk mji unaokua na kupanuka kwa kasi ikiwa ni moyo wa biashara mkoa wa kigoma piga 0767840793
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajanvi rejeeni kichwa cha habari hapo juu kama kuna anaejua procedure na pia ni mtaji wa sh ngapi unahitajika ili uweze kuwa na sifa za kuuza sigara kwa jumla nikitumia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kampuni ya clearing inauzwa...incorporated in 2009. in good standing na ni profitable...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu. Mimi nipo Iyunga Mbeya natafuta kabati la aluminium mita 2 ambalo ni used maana nina hela ambayo haizidi laki 1 na 50. Pamoja sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
House with Two Equal Apartments for Sale: Chanika D’SM:- Ø Each apartment : seat + dining room, 2bed room, Store, kitchen, Front verandah, external toilet, bath room and parking area. Ø Plot...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Habari zenu wakuu? Nina rafiki yangu yupo UAE(Dubai) atafika nchini hapa Arusha 10/08/2015. Kuna simu nimemuomba aniangalizie bei Samsung note 3 =$550 Sony Experia X utra =$300 Sony Experia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom