Exodus Financial services

Exodus Financial services

Barakaeli174

Senior Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
171
Reaction score
144
Kwa yeyote aliye na maono ya kuwekeza katika financial services kwa kutoa mikopo kwa watumishi wa Umma tu, tuwasiliane ili tuwekeze pamoja, usajili wa Exodus Financial services unaendelea hivi sasa na utakamilika hivi karibuni.
 
Kwa yeyote aliye na maono ya kuwekeza katika financial services kwa kutoa mikopo kwa watumishi wa Umma tu, tuwasiliane ili tuwekeze pamoja, usajili wa Exodus Financial services unaendelea hivi sasa na utakamilika hivi karibuni.

Wazo lako zuri, umefikia wapi? usajili wa kampuni tayari? Application ya leseni wizara ya viwanda na biashara umekamilisha? Mwekezaji unayemtaka unataka awe na sifa zipi? kama mtaji minimum iwe kiasi gani? riba yako itakuwa ni asilimia ngapi?
 
Usajli wa kampuni umefikia hatua za mwisho baada ya hapo tutaenda kuchukua lesseni ili tuanze kazi, riba itakuwa competitive ili tuweze kuwapata wateja zaidi siku ambayo tutakuwa tumechukua lesseni ndio tuta determine riba competitive kwa soko la wakato huo NMB Bank ndiye mwenye riba ndogo hapa nchini ila tutacheza naye kwa karibu sana ili watumishi waone. Kitu ambacho hawajawahi kukipata. Partner lazima aingizwe awe sehemu ya wakurugenzi atajaza fomu na tita saini mkataba wa makubaliano na atakuwa signatory benki kwa maana bila ya wakurugenzi pesa hazitolewi kwa wateja. Minimum hisa kwenye kampuni iwe shs. Mil 30 maana kuhudumia nchi nzima na watu wanahitaji pesa za kutosha si mchezo
 
Back
Top Bottom