mcmzungu
Member
- Jul 11, 2015
- 48
- 66
Naitwa MC SIMON Mzungu ni mshereheshaji (MC) katika harusi,send off na matukio mbalimbali,mara nyingi Nimealikwa katika vikao mbali mbali vya harusi lakini Washereheshaji Tunaulizwa maswali meeengi magumu na kamati mbalimbali za harusi kama Tutalipwa mamilioni ya fedha,MC Unaulizwa Utatupa offer gani au changia mchango upate kazi,binafsi Naamini MC Natakiwa kutoa huduma bora na nzuri,binafsi kauli mbiu yangu (huduma bora yenye hadhi ya nyota tano daima) Najitosheleza kwa huduma nzuri japo ni Mshereheshaji (MC) ambaye naanza.Wadau ambao ni wanakamati je?MC kama MC Luvanda,MC Mambya,MC Kibonde na MC Godwin Godwe huwa Mnawaweka kikaangoni kwenye kamati zenu za harusi kwamba watawapa offer gani?champagne au kuchangia sherehe?karibuni Nasubiri maoni.