nahitaji mdada wa kazi

nahitaji mdada wa kazi

chagga land

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
394
Reaction score
95
wakuu msaada wenu nahitaji mdada wa kazi.nipo dar es salaam ila napenda wa kutoka mikoa ya iringa,dodoma,singida,kilimanjaro ila asiwe mpare,mwanza,shinyanga,tabora,zanzibar.wa zanzibar atapewa kipaumbele zaidi.
 
Back
Top Bottom