Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Original, Boxed with full accessories 32GB Internal Storage 1 year warranty Price 410,000 Contact 0718942311 or 0785300134
0 Reactions
0 Replies
601 Views
note better masofa yako manne Pm for details,YAKO MOROGORO
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana Jf, natafuta Fuso Tani 3.5 mpaka 4. Niko mbeya. Liwe linafanya Kazi. bei tutaelewana nikimpata mwenye hiyo Gari. Asante.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu, Machine ya max malipo imetumika miezi minne inauzwa shillingi laki 450,000/=. Mwenye kuhitaji tuwasiliane Kwa wakazi wa DSM Asante
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni Dell optilex 380 quad core processor ram 4gb HDD 160gb processor 2.66ghz na graphic card ya 1.5gb. Bei ni 220k nicheki 0688206680.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Single line yenye 3G smartphone OS Touch screen Internal 30 MB Ina uwezo wa application kama vile operamini, whatsapp na viber kwa anaeitaji Call 0717 751644
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tshirt za wapendanao zinauzwa 20,000 rejareja na 16000 jumla
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba linaukubwa wa heka mbili, lipo karibu na mji kilometer moja kutoka barabarani. kuna miembe minne, mkiorosho mitano, linafaa kwa kilimo cha nanasi. Bei 2.2mil maelewano yapo. mauziano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu heshima yenu, kutokana matatzo ya kifedha nmeamua kuuza simu niipendayo LG G3/D855 kwa bei ya 380, 000 tu sawa na bure.nmeitumia kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu.bdo ni mpya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nokia inauzwa kwa bei poa kabisa sh. 60,000 /=tu Ni smartphone inayotumia OS processer Ina uwezo wa whatsapp na viber kwa anaeitaji Call 0717 751644
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tshirt nzuri za wapendanao zinauzwa 20,000/= rejareja na jumla 16000/= kuanzia piece 10.....
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau hongereni kwa majukumu. Naomba kujua ni hoteli gani nzuri pale Morogoro mjini (mji kasoro bahari) ambayo mtu unaweza kupumzika kwa utulivu, usalama wa kutosha na hakuna kero mbalimbali na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamvi Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mafunzo ya kilimo cha ufuta
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wanaJF, Kama kawaida support yenu inanipa uwezo kupiga hatua mbili mbele. Jipatie Theod shirt cotton poplin with Kitenge kwa Tsh 20000. Size zote zinapatikana na utaipata mkoa...
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Nijuze ni mtandao uliopo chini ya kampuni ya MES solution.Nijuze ni makataba ya kuhifadhi mawasiliano ya wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali wenye ofisi,ili iwe rahisi kwa wateja wao...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mambo? Natafuta chumba cha kupanga mitaa ya mbagala, kongowe na maeneo jirani. Njia iwe inapitika vizuri (sio na gari, ya miguu, sina ata bodaboda) hasa msimu wa mvua, kusiwe chochoro sana (maana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salama wadau, Kwa yeyote amabaye anahitaji mayai ya kuku wa kisasa ya kutotoleshea tuwasiliane kwenye number 0717332652,Both layers and Broilers. Tray nauza TZS 15,000 Nagatioable.
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Tunauza combine harvester Massey ferguson 87. Tumelinunua kutoka Denmark, ambako limetumika kidogo sana, na halijatumika hatakidogo Tanzania. tunliuza kwasababu tunabadili kilimo. tunataka...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom