Second Lieutenant
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 143
- 26
Mkuu naomba kujua haya
1. Una parents? Na kama ni yesi uliwanunua wapi? na wa aina gani?
Kwa sababu kuna mtindo upo watu wanachukua kuku wa mayai ya kula wanawawekea jogoo then wanauza kama layer eggs for hatching the same kwenye broiler.
Parents wa Mayia na Nyama hawazalishwi Tanzania hii bali hutoka Ulaya au South Africa, na Parents wale ni special kwa ajili ya kuhatch na kupata either kuku wa Nyama au Mayai.
Na vifaranga ni very expensive make Day one some time huenda hadi 20,000/ za kitanzania sasa nina mashaka na mayai ya hawa parents yakiuzwa bei sawa na mayai ya kula
Tupe ufafanuzi mkuu make yangu ni hayo tu
Mkuu naomba kujua haya
1. Una parents? Na kama ni yesi uliwanunua wapi? na wa aina gani?
Kwa sababu kuna mtindo upo watu wanachukua kuku wa mayai ya kula wanawawekea jogoo then wanauza kama layer eggs for hatching the same kwenye broiler.
Parents wa Mayia na Nyama hawazalishwi Tanzania hii bali hutoka Ulaya au South Africa, na Parents wale ni special kwa ajili ya kuhatch na kupata either kuku wa Nyama au Mayai.
Na vifaranga ni very expensive make Day one some time huenda hadi 20,000/ za kitanzania sasa nina mashaka na mayai ya hawa parents yakiuzwa bei sawa na mayai ya kula
Tupe ufafanuzi mkuu make yangu ni hayo tu
Mkuu naomba kujua haya
1. Una parents? Na kama ni yesi uliwanunua wapi? na wa aina gani?
Kwa sababu kuna mtindo upo watu wanachukua kuku wa mayai ya kula wanawawekea jogoo then wanauza kama layer eggs for hatching the same kwenye broiler.
Parents wa Mayia na Nyama hawazalishwi Tanzania hii bali hutoka Ulaya au South Africa, na Parents wale ni special kwa ajili ya kuhatch na kupata either kuku wa Nyama au Mayai.
Na vifaranga ni very expensive make Day one some time huenda hadi 20,000/ za kitanzania sasa nina mashaka na mayai ya hawa parents yakiuzwa bei sawa na mayai ya kula
Tupe ufafanuzi mkuu make yangu ni hayo tu
Mkuu unapatikana mkoa gani Tanzania hii?nahitaji sana hayo mayai mkuu
Nina parents from Aviagen and Kenchicks,Usishangae bei per tray,sisi huwa tunauza vifaranga vyetu TZS 1300 broiler DOC and 2200 Layer DOC.
Huu ndio wakati wako mfugaji kupata mayai yenye ubora na yaliyotuzwa kisasa zaidi.
Karibu sanaa
uko mkoa gani kabla hatujakutafuta, mode of payment and delivery ikoje? Ninahitaji nipo dar