Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau hongereni kwa majukumu. Naomba kujua ni hoteli gani nzuri pale Morogoro mjini (mji kasoro bahari) ambayo mtu unaweza kupumzika kwa utulivu, usalama wa kutosha na hakuna kero mbalimbali na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamvi Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mafunzo ya kilimo cha ufuta
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wanaJF, Kama kawaida support yenu inanipa uwezo kupiga hatua mbili mbele. Jipatie Theod shirt cotton poplin with Kitenge kwa Tsh 20000. Size zote zinapatikana na utaipata mkoa...
0 Reactions
4 Replies
876 Views
Nijuze ni mtandao uliopo chini ya kampuni ya MES solution.Nijuze ni makataba ya kuhifadhi mawasiliano ya wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali wenye ofisi,ili iwe rahisi kwa wateja wao...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mambo? Natafuta chumba cha kupanga mitaa ya mbagala, kongowe na maeneo jirani. Njia iwe inapitika vizuri (sio na gari, ya miguu, sina ata bodaboda) hasa msimu wa mvua, kusiwe chochoro sana (maana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salama wadau, Kwa yeyote amabaye anahitaji mayai ya kuku wa kisasa ya kutotoleshea tuwasiliane kwenye number 0717332652,Both layers and Broilers. Tray nauza TZS 15,000 Nagatioable.
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Tunauza combine harvester Massey ferguson 87. Tumelinunua kutoka Denmark, ambako limetumika kidogo sana, na halijatumika hatakidogo Tanzania. tunliuza kwasababu tunabadili kilimo. tunataka...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mweny Nay Anipm Namb By Now Nk Dodma Kama Uk Dsm Hop Kwa Dom N Rahs Kunifikia Iwe Ina Kubl Kusma Lain Hat Ikiwa Na Kreck Kwny Kioo Bt Iwe Inapga Mzg Fresh Tnaongea Bznez
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KWA WAWEKEZAJI NA MTU YEYOTE INTERESTED, KUNA KIWANJA KIKUBWA 20603 sq.kms. KIKO surveyed tayari, na plots 21 ndani yake. Total size/ukubwa : 20603 sq.kms plots/viwanja vidogodogo ndani yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau habarini za majukumu; Samahani katika tangazo hili nitachanganya lugha** Kiswahili - English ★ Sisi ni wadau wa masuala ya habari na mawasiliano... ( Team of ICT and Computer Program...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman wanajamii forum naomba kuuliza bei ya bajaji mpya itakuwa sh ngapi. Msaada wenu ni muhimu sana.Asanten
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Wakuu ninahitaji simu nzuri ya kisasa, bei isizidi laki 2. Kwangu simu nzuri ni yenye uwezo mzuri wa kamera, internet spidi, uwezo wa betri, ya kudumu nk. Pia mnaweza kuniongezea na vigezo vingine...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wadau, nauza Lexus Rx 3.0 kwa shiling milioni thelathini na mbili (32M), Gari iko katika hali nzuri, ni ya 2006 na imetembea 126,000 miles! Ni gari ya UK so ina leather seats na ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari! naitaji mayai ya kanga kwa ajiri ya kutotolesha,nipo dar es salaam kama unayo ni PM au weka namba yako nitakucall
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Anaye uza line ya tigo pesa au mpesa naomba tuongee.. Asante
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nimepata mchongo mwingine Wa biashara ya usafirishaji Congo mwenye nia ani pm Kwa maelewano
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Wakuu poleni kwa kazi Nina nyumba yangu iko Mtwara mitaa ya Chuno. Ina vyumba 7, vitatu ni self, jiko na sebule na sehemu kubwa ya kupaki magari ambayo inaweza kutumika kama warehousing. Sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Nina idadi kubwa ya scrapped /shredded truck tyres nahitaji wateja .Ninaweza kusupply zaidi ya tani 3 kila mwezi.Mwenye ufahamu wa soko husika au biashara hii inakwendaje naomba...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
natafuta adapta ya toshiba yenye voltage 12 na ampia 5,nipo mwanza
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Back
Top Bottom