Habari zenu ndugu,
Machine ya max malipo imetumika miezi minne inauzwa shillingi laki 450,000/=.
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0769852820.
Kwa wakazi wa DSM
Asante
Natamani kujua hii makitu inatumika kwenye nini zaidi ya ambacho naweza kukifanya kwa kutumia simu yangu.