Kig
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,079
- 469
Wadau hongereni kwa majukumu.
Naomba kujua ni hoteli gani nzuri pale Morogoro mjini (mji kasoro bahari) ambayo mtu unaweza kupumzika kwa utulivu, usalama wa kutosha na hakuna kero mbalimbali na kwa bei nafuu za vyumba (maximum, chumba cha tsh 30,000 kwa siku)
Naomba kujua ni hoteli gani nzuri pale Morogoro mjini (mji kasoro bahari) ambayo mtu unaweza kupumzika kwa utulivu, usalama wa kutosha na hakuna kero mbalimbali na kwa bei nafuu za vyumba (maximum, chumba cha tsh 30,000 kwa siku)