Viwanja vinauzwa eneo la Vikawe njia ya kwenda Bagamoyo karibu na shule ya Baobab.
Umbali mfupi kutoka barabarani, ekari moja mill 22.
Kingine urefu mita 60 kwa 30 mill 15.
Kwa mawasiliano ni PM
Nauza cd za playstation 3.....
Max payne 3-50,000/=
street football 4-40,000/=
ukitaka zote ntakufanyia kwa elfu 70..haipungui.
Unaweza nicheki whatsapp,pm au hata kunipigia kwenye 0718891984...
Habari wana JF, nauza kiwanja kipo maeneo ya njia panda mji wa himo-Kilimanjaro,"Kiwanja No.116","Kitalu F". Kina UREFU:hatua 50 na UPANA:hatua 25,huduma ya maji na umeme inapatikana bila...
Habari wadau..
Nauza simu ya SAMSUNG GALAXY S4 kwa thamani ya TSHs.350000/=,haina tatizo lolote...imetumika kwa miezi miwili hivyo bado ina upya wake na haijachoka kabisa,ina rangi nyeusi,kwa...
HABARI wana JF,Kama nilivyosema hapo juu nauza kiwanja kipo maeneo ya kiluvya kwa komba,Chenye UREFU:hatua 46 na UPANA: hatua 20...na kipo mita 90 kutokea morogoro road,pia eneo lina upatikanaji...
Tafadhalii sana baada ya kununua niliiwasha ikauliza baadhi ya maswali ikiwemo keyboard layout nikachagua English UK
NADHANI HAPA NDIO NILIKOSEA ,, JE NAWEZAJE KUBADILISHA...
Kiwanja karibu na hotel ya Amani beach chenye ukumbwa wa heka mbili kinauzwa. Bei Shs 120,000,000/- kwa heka. Kipo Minondo karibu na hotel za Amani beach na Pretoria. Kwa maelezo zaidi wasiliana...
Kwa mahitaji ya External HDD: go for Transcend.
Hawa Jamaa wana uthubutu wa Kumpa Mteja Wao warrant ya 3yrs.
Zimetengenezwa na Technolojia "Shockproof" pindi inapoanguka Chini na kuzuia...
Fremu inapangishwa ipo CHANG`OMBE ,Temeke jirani na njia panda TCC Club na inatazama Chang`ombe Road.
Ina floor tiles na mlango wa Alluminium . Bei ni poa sana. Wasiliana na 0713 689665.
Nauza Passo namba D ina rangi nyekundu low mileage nmeiendesha hapahapa dar imenunuliwa mwaka huu January.Ila kama una IST isiyozidi mwaka toka inunuliwe na unataka tubadilishane kwa 'labda'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.